Kama simu ni FAKE, Je TECNO Shop wanawajibika kunibadilishia simu?

Ushindi Daima

Member
May 4, 2013
92
27
Hello wana jamvi!

Naombeni msaada maana simu yangu nikiangalia IMEI then hizo namba nikizitima kwenye namba 15090 ya TCRA naambiwa ni BANDIA hivyo niibadilishe.
Simu hii ni products ya TECNO LIMITED inajulikana kama Tecno 8H (DroiPad 8) Tablet.

Niliinunua mwaka jana mwezi wa 8 na kupewa Warranty guarantee ya miezi 12+1 na mpaka sasa receipt na vifaa vyake ninavyo.

Swali: Je nikienda kubadilisha wananikubalia au watakataa ingawa ni Duka lao na Warranty haijaisha muda wake?

Asanteni!
 
Nenda kajaribishe ndugu bt Samsung ndio wako pouwa sana na bidhaa za dukani kwao.
 
nenda mapema rudisha waeleze! kisha sikiliza maelekezo yao usiporidhika kawashtaki! hakikisha hawachukui karatasi yoyote kutoka kwako
 
nenda mapema rudisha waeleze! kisha sikiliza maelekezo yao usiporidhika kawashtaki! hakikisha hawachukui karatasi yoyote kutoka kwako

Asante sana nimepokea na kuzingatia ushauri wako. Nitafanya hivyo kesho!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom