Msaada: Nimevunja kioo cha tv ya Boss, inch 39

Msaada: Nimevunja kioo cha tv ya Boss, inch 39

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
16,345
Reaction score
37,791
Wakuu naomba msaa wapi naweza kubadilisha kioo cha hii tv na gharama zake... Natanguliza shukrani!!
 
mi na tv yangu samsung inch 50 imepasuka kioo ...msaada pls
 
Jamaa kachanganya madawa hAsaa[emoji23][emoji23][emoji38]
Madawa gani? Hizo nyjngine ni coincidence tu zinatokea... Tatizo akili ndogo inakupa shida!
 
Mie nikajua umevunja kioo cha TV ya boss wako, kumbe TV yako ndio inaitwa boss..
Ok poa basi.
Hilo jina la tv ni utata mtupu, amechanganya wasomaji, alitakiwa aandike kuwa nimevunja tv aina ya boss flat skreen. By the way hiyo tv ni mchina, ni mhindi yuko mitaa ya msimbazi annagiza china kwa brand a boss, zipo tv za boss, friji, subwoofer, air conditioner na feni. Nenda barabara ya msimbazi mbele ya mtaa wa congo kama unaelekea mnazi mmoja, upade wa kulia utaona duka la huyo agent mkuu, amekaribiana na agent wa sumsung kama sijakosea
 
Hilo jina la tv ni utata mtupu, amechanganya wasomaji, alitakiwa aandike kuwa nimevunja tv aina ya boss flat skreen. By the way hiyo tv ni mchina, ni mhindi yuko mitaa ya msimbazi annagiza china kwa brand a boss, zipo tv za boss, friji, subwoofer, air conditioner na feni. Nenda barabara ya msimbazi mbele ya mtaa wa congo kama unaelekea mnazi mmoja, upade wa kulia utaona duka la huyo agent mkuu, amekaribiana na agent wa sumsung kama sijakosea
Ok asante mkuu... Vipi ana mafundi hapo hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom