Popo bawaa
Member
- Apr 19, 2016
- 47
- 2
Jamani mimi nina simu yangu aina ya huawei Y530 ina tatizo moja, nikiwa naiwasha ina andika neno huawei alafu ina andika android na ndio mwisho wake aw kuwaka hapo.
Msaada wakuu
Msaada wakuu