Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani kama Kuna mtaalamu wa ku upgrade android version kwa kutumia pc. Tafadhari naomba tuwasiliane. Simu yangu ni samsung s5 sm-g900f. Mawasiliano 0625470735
3 Reactions
196 Replies
22K Views
Hbari wakuu, naombeni msaada wa viswali vifuatavyo! 1. Nin tofauti ya online na offline version? 2. je nikitengenezewa domain/website hapa tz yaan mfano, sungita.co.tz je baaday naweza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni simu ambayo nimeitumia kwa muda kidogo Hivi karibuni kama wiki moja ilikua haiwezi kurecognise namba zilizopigwa, zilizoingia pamoja na missed call lakini ilikuwa selective kwenye namba...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
When diplomacy ends, War begins.-Adolf Hitler. 'Good Night'
2 Reactions
0 Replies
682 Views
Naomba kufahamishwa namna ya kurecharge simcard ya ttcl na kujiunga na vifurushi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptpo imegoma kuitambua simu kwa USB, Nimesumbuka mpaka nimekumbana na virus, asa leo from nowhere nimekutana na kitu inaitwa android wi-fi, very interesting.... Yani una connect internet ya simu...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Nahitaji kununua hiyo simu ila kabla sijafanya hivyo naomba Kujua kwa wale ambao wanazitumia specifications zake zikoje najua ni simu ya mziki ila vipi camera yake, processor, betri charge na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wakuu nataka kujua huawei na Samsung nani anafanya simu nzur af kama unajua kampuni nyingine bora nitaarifu
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Habari wana JF Nahitaji mtaalamu wa kutengeneza website. Anayeweza kazi hiyo ani pm please. Ahsanteni
3 Reactions
7 Replies
853 Views
Habari wakuu. Hope mko sawa kabisa. Hivi naweza kuskiliza radio iwe ni za hapa nyumbani au nje kwa kutumia laptop kama sina internet mfano nnavyoskiliza kwenye simu...? Kama naweza nipe njia za...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
*_TANZANIA JOIN 2DAYSKY_* Hii ni Kampeni Maalumu ya kumsapoti mwanafunzi wa *_UDOM_* anaeitwa Elisha William anayesoma *College of Informatics*ambaye amefanikiwa kutengeneza mtandao wa...
13 Reactions
78 Replies
13K Views
Habari za mda huu wana jamvi,mimi ni mgeni humu lakini ndo nshaanza kuwa mwenyeji hivyo.Juzi nilikua natafuta laptop nzuri kwa matumizi yangu,katika kupita pita mitandaoni nikakutana na blog moja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye utaalamu na haya mambo jaman msaada maana naona kila nkisearch google napata website kibao sasa sijui kuna usalama huko. Au bora tuu ni download moja kwa moja kutoka kwa hawa official...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau mambo vipi? natumaini wazima! Kuna new social network ambayo bado unupgraded . Wadau hebu pitie www.jamiichat.yooco.org then mfunguke, hapo jamaa alietengeneza aki upgrade na kulipia domain...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samsung Galaxy s5 Sm-G900A Based version G900AAUCU4CO15 Haina EMEI kabisa, fundi kasema mpaka to root lakini root yake kasema bado.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu mi naomba kusaidiwa kwa anaejua keywords za kuangalia kama Sony z4 simu ni orijino au laa,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
samahani wadau wangu mliotuma sms nikashindwa kuzijibu na post nilikuwa nje na teknology so nime ruditena kwa kasi ya 4g na mkongo wa taifa
1 Reactions
1 Replies
857 Views
Za leo wakuu.. natumai wazima wa afya nyote. Ni muda mrefu umepita tangu kampuni moja ya india, Ringing Bells izundue simu aina ya smartphone Freedom 251 yenye line 2,processor speed 1.3ghz...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Kutumia kisumbusi cha Star times nawezaje kuangalia Euro hii ambayo imeanza jana ?Je ni channel gani itaonyesha kwenye kingamuzi cha Star times?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…