Ni kweli root ya simu hii mpaka sasa hamna

Ni kweli root ya simu hii mpaka sasa hamna

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,594
Reaction score
1,863
Samsung Galaxy s5 Sm-G900A
Based version G900AAUCU4CO15

Haina EMEI kabisa, fundi kasema mpaka to root lakini root yake kasema bado.
 
Root ni only chainfire flashable root files zinaweza zikasaidia.. Ila lazima uwe mtaalam wa kuflsh kwa kutumia odin.. Nenda kwa web yao... Af chagua flashable file zako then flash kwa odin.... Kuhusu imei... Download miracle box 2.27A crack-search google.. Then nenda kwenye developer option ndan ya simu af activate usb debuging-google jins ya kuactivate usb debugging . then run hiyo crack alaf nenda tab ya androd then read info.. Any case just PM nitakuelekeza zaid
 
Back
Top Bottom