Habari wana JF,
Naombeni kujua wastani wa bei ya DISH kwa ajili ya kingamuzi ambacho kinatoa free channels... Yaani sio cha kampuni fulani mfano starimes, azam etc...chenyewe kinahitaji dish...
instagramToday, we’re excited to announce our community has grown to more than 500 million Instagrammers — more than 300 million of whom use Instagram every single day.
Our community also...
Psychologically nimekuwa nikifaham kuwa bidhaa za LG hasa simu ni nzuri na hazina matatizo kwa mtumiaji. Ila kwa sasa naanza kupata ukakasi sasa baada ya kupitia post za baadhi ya member humu...
Wakuu kama kuna mtu aliyefanikiwa kutumia application yoyote kuangalia tv stations za tanzania or east africa online kwa kutumia smartphone or tablet naomba anisaidie
JIUNGE NA HII PROGRAM AppMahal UPATE UJISHINDIE SIMU YA SMARTPHONE KUBWA BOFYA HAPA انضم معي الى AppMahal# ! احصل عليه مجانا من متجر جوجل
KWA SUALI LOLOTE KARIBU
Nokia Asha 230 Inadumu chaji.
Qn.Hivi ina uwezo wa kutumia browser kama vile safari na Chrome? msaada tafadhali!
Qn.Bei yake dukani kwa sasa tsh ngapi kwa Dar es salaam?
Tafadhali mwenye kujua solution ya tatizo hili laptop yangu aina ya HP screen haitulii vimistar juu ya screen pamoja na kushake kwa screen baada ya sec 2 .msaada tafadhali
Habari wanajukwaa, nimenunua huawei p6, kwa mtu ikiwa na android version 4.4.2, nimejaribu kufanya hard reset kwa kuenda kwenye setting na pia kwa ku-click power button and volume up,
lakini...
Je hili tangazo lina maana hii:-
“not cybercriminals, nor hackers, nor oppressive
regimes” – nor WhatsApp themselves can read your messages, unless they
have your phone and password."?
Walioitumia na wanaoitumia naomba wanisaidie tafadhali TECNO L5 inakaa na chaji kwa siku ngapi kwa data ya 3G ikiwa ON while on heavy usage.
Je,TECNO L5 na L8,ipi inayokaa na chaji zaidi ya mwenziye?
Wadau mi sio mtaalamu sana wa Teknolojia hii.Kuna system ya NHIF naitumia kuingiza information za fomu online.
Tatizo leo asubuhi wakati nawasha kompyuta ikatoa ujumbe kuwa window...
Wadau nimekua nikitumia hii software kwa Ku download Mambo ambayo siyo torrents na inauwezo mkubwa sana pamoja Lakini pia huwa na download kwa Kutumia Utorrent katika site ambazo zina Torrent...
Wana bodi,
Salaam!!
Nina tatizo na facebook yangu nime log out sasa ni kijaribu kulog in inakataa inaniambia nimekosea anwani ambayo naitumia kila niki log
Anuwani hiyo ni hii...
Jamaani eee!
Nataka kujifunza basics za graphics design (na pengine zaidi) kwa ajili ya magazeti, picha, web, etc.
Je, ni wapi ndani ya dar-es-salaam kuna shule nzuri kwa ajili hii...
Jamani waungwana naomba mnipe msaada nina simu ya C8 Tecno ila kinachonisumbua ni kuwa nimesave majina kwenye phonebook ila wasap ni namba tu zinaonekana na call history sasa sijui nifanye nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.