C client3 JF-Expert Member Joined Aug 6, 2007 Posts 2,331 Reaction score 3,200 Jun 22, 2016 #1 Simu yangu ni aina ya HTC ina shida ya kupiga selfie tu,yaani haipigi Kwa mtindo wa kawaida(front camera) Shida yaweza kuwa nini?
Simu yangu ni aina ya HTC ina shida ya kupiga selfie tu,yaani haipigi Kwa mtindo wa kawaida(front camera) Shida yaweza kuwa nini?
ymollel JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 3,095 Reaction score 2,294 Jun 22, 2016 #2 client3 said: Simu yangu ni aina ya HTC ina shida ya kupiga selfie tu,yaani haipigi Kwa mtindo wa kawaida(front camera) Shida yaweza kuwa nini? Click to expand... Aidha Main camera imetingishwa na ikachomoka kutoka kwenye slot yake.
client3 said: Simu yangu ni aina ya HTC ina shida ya kupiga selfie tu,yaani haipigi Kwa mtindo wa kawaida(front camera) Shida yaweza kuwa nini? Click to expand... Aidha Main camera imetingishwa na ikachomoka kutoka kwenye slot yake.