Ina shake you mean inakata Mauno?
Ugonjwa unaitwa Parkinson Marehemu Mohamed Ali Alikuwa nao hadi Mauti ilipomchukua... So Subiri na wewe hiyo laptop ife.
Mkuu Either Cable inayounganisha Display na Mother Board ishachoka ibadilishe or Capacitor zishakuwa weak ifanyie service Power supply ugonjwa huo most of the times ni power source either adopter au mother board.
Pole sana i use to repair those thing but kwa miaka nishakimbia field hiyo naona hailipi na inaleta stress tu... Nilipogundua napata stress kwa haya mambo nikawa na mimi nanunua mpya tu like wazungu wafanyavyo... maana wazungu hata Magari wanayoyaleta yamewasumbua kidogo tu wanayasend africa maana ukitizama na bei wanazouza huwezi amini ukiringanisha na beand new car kwao haviendani.. nadhani ni dumping area kwetu... mkuu tafuta watu wa malawi uwauzie bei ya kutupa nunua mpya.