Kipindi hichi cha EURO 2016 Facebook messenger wameiachia game ya soccer ambayo watu walikuwa wanaisubiria, kama unakumbuka ile ya basketball it was VERY FUN, lakini hii ya soccer it's MUCH FUN...
Nimekinuuna yapayata mieezi sits iliyopita baggti nbaya nilikua nimesafiri sasa nimerudi kila nikiwasha kinaniambia no signal je nifanyeje, nimejaribu kuzungusha antenna bado Niki search Chanel...
Nime-download fifa 15 katika PC yangu ya core i3 ila kila nikifungua inagoma sasa nashindwa kuelewa tatizo ni uwezo wa Pc au kuna mautundu mengine unayo takiwa kufanya kama yapo mnielekeze wakuu...
Natumain wte humu ni wazima Kama kuna m2 anaijua sage evolution vizur naomba msaada jinsi ya kufanya offline branching
Coz nafanya bt kuna error napata
IWE NA SIFA HIZI:
core i3 2.5 processor
graphics card iwe ni NVIDIA au AMD kuanzia 512mb na kuendelea
HDD iwe kuanzia 320 na kuendelea
RAM kuanzia 4GB na kuendelea
processor yake ianzie 3rd na...
ChatDealz is redefining the concept of local connectivity in TANZANIA.ChatDealz helps you to connect with your surrounding people/businesses in TANZANIA .
Install ChatDealz @ YoApp: Hyperlocal...
Habari wadau?
Nina Laptop yangu ambayo nilikuwa naitumia kwa shughuli mbalimbali nashangaa kwa sasa imegoma kupata internet japo nikiunganisha modem inaconnect vizuri na speed inakuwa poa tu...
Habari wadau?
Simu yangu ya LG inakataa kuchaji mpaka niizime ndo inachaji.
Je ushawahi kukutana na tatizo hilo au una experience yoyote kuhsu hilo? Naomba msaada wadau nilitatueje.
Habari za jioni wakuu, natumia HTC one m7 lakini tangu juzi simu yangu imekuwa kwenye mode ya limited services so siwezi kupiga simu wala kutuma meseji, lakini cha ajabu matumizi mengine ya data...
Na uhakika hakuna simu itakayozimwa Leo
Kuna simu original zina imei fake
Na kuna simu fake zina imei original
HII PROGRAM ILIANZA KENYA ....ILISHINDIKANA MPAKA KESHO WAKENYA WANADUNDA NA SIMU...
Ndugu wanajamvi
Nilidownload adobe photoshop CC sasa lakini nime experience matatizo mawili ambayo naomba msaada kwa wanaofahamu zaidi.
1.Adobe photoshop 3d haifanyi kazi. Kazi zote nafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.