Nipo Dar,Nina Basic knowledge ya language kama HTML,pascal na java kidogo.So nilihitaji mtu anayejua android development anipe class na nitaongea na wenzangu tujikusanye kwa pamoja.So if...
Wanajukwaa habari,
Katika ulimwengu huu wa simu janja kumekuwa Na simu janja mbalimbali zitumiazo mifumo mbalombali ya kiuendeshaji Kama vile simu za androids ,iphone Na mfumo wake wa IOS pamoja...
habari
jamani mimi natumia tecno n7 sas sielewi matumizi ya Wi-Fi na nikitaka kuitumia nafanya nini???? kiukweli i know nothing about it naiona tuuu ipo ila siielewi kabisaaaaa naomba...
Sasa waweza anzisha biashara yako ya Web Hosting kwa bei nafuu (Reseller Package).
Bronze Package (Tsh 200,000/mwaka)
--Unlimited Domains
--Unlimited mail account
--Reseller Account
--Daily...
Habar wana teknolojia naomba msaada PC yangu aina ya dell inspiron nikiwasha inapiga kelele kwa muda then ndo inawaka halafu pia ghafla namba nane ya keyboard haifanyi kazi jambo ambalo nashindwa...
Habari zenu wakuu.Ninayo heshima kwenu kupata ushauri mzuri wa kufahamu tofauti na ubora wa hizi simu.
Ushauri wenu utasaidia wengi kupata kifaa bora kwa matumizi hasa ya habari na mawasiliano...
Natafuta kioo cha hiyo simu hapa Bongo kwa nani nitakipata msaada tafadhari hata kwa ushauri! Hapa tanzania au hata nje ya nchi! Au kama kuna fundi anacho
Simu ni GENX MODEL GX7-3GS
wadau ninaomba kufahamu battery ya simu gani inayoweza kukaa kwenye tecno h6 na yenye mAh kuanzia 4000 na kuendelea au yenye uafadhari ukiweka kwenye h6
Join me in #AppMahal! Get it FREE on Google Play... Join me in #AppMahal! Get it FREE on Google Play...
Kwenye hii apps wanafanya mashindano na hutoa zawadi smartphone latest kwa kila wiki...
Hellow wadau blogger wenzangu nina kijiblog changu ambacho tayari nishakiwekea ADSENSE, but eanings ni ndogo sana, so naomba kunijuza nifanyaje ili earning iongezeke coz now sipati kitu cha...
INSTAGRAM IMEFIKISHA WATUMIAJI ZAIDI YA MILLIONI 500....
SOURCE: INSTAGRAM PAGE instagram
instagram:Today, we’re excited to announce our community has grown to more than 500 million Instagrammers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.