shaks001
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 1,246
- 1,070
Wadau mi sio mtaalamu sana wa Teknolojia hii.Kuna system ya NHIF naitumia kuingiza information za fomu online.
Tatizo leo asubuhi wakati nawasha kompyuta ikatoa ujumbe kuwa window inaji-upgrade(kama sijakosea "ku-update").
Ilipomaliza ikaja window 10,sasa tatizo linatokea kwenye ku-conect internet inakataa,nashindwa hata ku-browse.
Natumia moderm,nikichomeka inasoma "connect"Niki-connect inakubali lkn pale chini upande wa kulia karibu na saa ukiweka cursor inasoma no internet access.Nashindwa kuelewa nifanyeje wadau.
Samahani kwa maelezo marefu!
Tatizo leo asubuhi wakati nawasha kompyuta ikatoa ujumbe kuwa window inaji-upgrade(kama sijakosea "ku-update").
Ilipomaliza ikaja window 10,sasa tatizo linatokea kwenye ku-conect internet inakataa,nashindwa hata ku-browse.
Natumia moderm,nikichomeka inasoma "connect"Niki-connect inakubali lkn pale chini upande wa kulia karibu na saa ukiweka cursor inasoma no internet access.Nashindwa kuelewa nifanyeje wadau.
Samahani kwa maelezo marefu!