Msaada: Network imekata baada ya kompyuta ku-upgrade window kutoka 7 kwenda 10

shaks001

JF-Expert Member
Feb 6, 2014
1,246
1,070
Wadau mi sio mtaalamu sana wa Teknolojia hii.Kuna system ya NHIF naitumia kuingiza information za fomu online.

Tatizo leo asubuhi wakati nawasha kompyuta ikatoa ujumbe kuwa window inaji-upgrade(kama sijakosea "ku-update").

Ilipomaliza ikaja window 10,sasa tatizo linatokea kwenye ku-conect internet inakataa,nashindwa hata ku-browse.

Natumia moderm,nikichomeka inasoma "connect"Niki-connect inakubali lkn pale chini upande wa kulia karibu na saa ukiweka cursor inasoma no internet access.Nashindwa kuelewa nifanyeje wadau.

Samahani kwa maelezo marefu!
 
Unatumia modem gani?, nahisi drivers za modem zimekuwa incompatible na hiyo window au kuna tatizo la mtandao.
Jaribu kuunistall software ya hiyo modem halafu ufanye reinstallation ya hiyo modem software.
Pia jaribu kuunga na wireless kujua Kama tatizo ni computer au ni mtandao.
 
Natumia moderm ya HSDPA inayoruhusu line zote.Kuna mdau aliniambia inawezekana drivers za hiyo moderm zimekuwa disturbed na hiyo window,so ndo natafuta maelekezo ya kuweka hizo drives
 
Back
Top Bottom