Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani waungwana naomba mnipe msaada nina simu ya C8 Tecno ila kinachonisumbua ni kuwa nimesave majina kwenye phonebook ila wasap ni namba tu zinaonekana na call history sasa sijui nifanye nini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Technolojia ina mengi na inaumiza wengi tusio kuwa na uelewa nayo. Kumbe kuna wimbi kubwa sana la watu wana agiza magari kutoka nje na hata kununua kwenye show room za hapa bongo kwa kigezo cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je Site Kama Mkito Wana Hifadhi vipi miziki online na Wanafanyaje Ili Kutengeneza Download Links
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni mzee mkoloni nisiependa kabisa hizi channel za burudani kwani zinapendwa zaidi na mke na watoto zaidi kuliko channel za habari. Mimi sikatai wao kutizama lakini changamoto...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
So sometime back nilipost kwenye jukwaa la "Matangazo Madogo" kuwa nilikua nahitaji kama kuna mtu mwenye miwani za 3D za Anaglyph ( Red & Cyan ) aweze kuniuzia... Lakini kwakwel sio hapa tu bali...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Nimejaribu kununua umeme wa LUKU kupitia Mpesa leo toka asubuhi lakini napata error message hii: " The bill number does not meet the third-party authentication rules." Nimejaribu kupiga customer...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kampuni ya Buffer inayotengeneza tovuti na Apps zinazosaidia watu kumanage social media ina utamaduni wa uwazi/transparency kiasi kwamba mishahara ya wafanyakazi wote wanabandika mtandaoni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mtandao wa sim wa voda wanahuduma ya kuwa hata simu ikiwa offline,mtu akipiga inamwambia kuwa tutamjulisha kuwa ulimpigia;sasa naomba unaipataje hii huduma?msaada plz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kunasababu nyingi za kutaka kujua nani amekublock kwenye account yake :mad: ? Whatever the reason kujua ni hatua chache moja wapo ni kuclick FOLLOW button kama amekublock hata ubonyeze follow...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wataalamu wa computer naombeni naomba kujua tofauti ya software na version na kaz zake! Na je znabadilishika?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenye kujua bei ya simu tajwa hapo, anijuze..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji kisimbusi cha startimes cha zamani. Nataka nimpelekee bibi kijijini. BAJETI yangu ni elfu 20 (tzs). Niko mbezi mwisho - Dar 0715907360 au 0757049601
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Habari zenu... Nina simu aina ya Samsung S3 na nimesikia inawezekana kuiupdate Android version yake kwenda kweny lollipop Kwa sasa version yake ni Jelly Bean.... Naomba msaada jinsi ya kuiupdate...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
LIST OF WINDOWS KEYBOARD SHORTCUT ALT+- (ALT+hyphen) Displays the Multiple Document Interface (MDI) child window's System menu ALT+ENTER View properties for the selected item ALT+SPACEBAR...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wanajamii..naomba mwenye kioo au screen ya hp probook anisaidie tuwasiliane kwa no 0713478400 nipo dar..
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Nina Ipad 1 ios version ni 5.1.1 lakini nikitaka kuinstall whatsapp kutoka kwenye store yao wanasema niwe na ios version 8.4 sasa nikiangilia current version ni 5.1.1 je kuna uwezo wa kuupdate...
0 Reactions
8 Replies
864 Views
Habar wakuu, Mimi sina uzoefu kabisa na simu aina ya samsung na nmenunua galaxy s3 used, wasiwasi wangu ni kwamba nilipo watumia TCRA imei ya hii simu nimeambiwa kuwa simu yang ni 'samsung...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii naomba msaada kuhusu hili. Nimesajili laini mpya ya halotel ya wanachuo na nikajiunga kifurushi cha mb 600 cha wiki ila tatizo ni moja tu kua licha ya kua nimefanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari zenu waungwana..naomba msaada kwa mwenye kuweza nisaidia screen ya aina ya laptop yangu..Ni HP PROBOOK 6570b. Nahitaji screen yake kwakua yakwangu imeharibika..naomba kama utaweza nisaidia...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Back
Top Bottom