Walioitumia na wanaoitumia naomba wanisaidie tafadhali TECNO L5 inakaa na chaji kwa siku ngapi kwa data ya 3G ikiwa ON while on heavy usage.
Je,TECNO L5 na L8,ipi inayokaa na chaji zaidi ya mwenziye?
nimenunua smartphone tigoshop ZTE kiss 3. line moja lazima iwe ya tigo lakini nyingine ni yoyote. tatizo upande wa line yoyote 3g haisomi. je ni kawaida kuwa hivyo kwa smartphone za tigo au...
What people might learn from the combined companies after the Microsoft deal.
Zara Kessler ZaraKessler
June 27, 2016 — 6:20 PM AST
You’re staring at a spreadsheet and you’re stumped. Waiting...
mimi natumia simu ya mchina tena mchina ambao wamejitahidi kuutengeneza unajitahid kwa kweli kupiga kazi chakushangaza toka ile siku ya TCRA ilipofika hadi leo simu yangu bado inajinwaga itajavyo...
Kuflash cmu ni kosa kisheria lakn nashangaa kwa nn baadh ya mafundi wameandika mabango "TUNAFLASH SIMU,KUTOA LOCK N.K" Je hawa mafundi hawajui kama kufanya hvyo ni kosa? Au mm ndo cjui nn maana ya...
Kuna mchezo unafanywa na makampuni ya simu wa kuwaibia watu! Simu yangu ilikuwa haipandishi mnara/inapoteza network. Nikaenda kampuni moja (siitaji kwa sasa).
Nikawaeleza tatizo wakasema hiyo...
Salaam wanajamvi,
Kuna dogo anatamani kusoma programming languages zitakazomwezesha kutegeneza programs zitakazoweza kutumika kwenye simu zinazotumia android na nyingenezo.
Elimu yake ni kidato...
Ni mara nyingi sana nyimbo yaweza kusikika iwe kwenye radio, club au daladala na ukaipenda sana ila hujui jina la msanii wala jina la wimbo huo na hua inakera sana,,
NJIA YANGU YA KWANZA...
Msaada wakuu, computer inazingua, haitaki kuwaka, inaniletea maandishi,
ATTEMPTING BOOT FRON CD- ROM
ATTEMPTING BOOT FROM HARD DRIVE
BOOTMRG IS MISSING
PRESS CTRL * ALT* DEL to restart...
Now alkoholism is not the number one cause of car accidents among youths. The number one cause of accidents and even deaths is the usage of phones while driving.
Car designer are required to...
Wakuu, naombeni msaada wenu wa kitaalamu. Nilinunua Photocopy Machine mpya Canon IR 2520, nimeweka Drum na Toner lakini kila nikijaribu kutoa copy inatoka Plain yaani bila maandishi. Naombeni...
Jamani wakuu, Naombeni msaada juu ya kusolve ilo tatizo litatokea pale ninapo piga picha kwa simu yangu.. Nikienda kufungua kwa gallery inaonyesha giza na huo ujumbe hapo juu.
Sasa hata picha...
Wakuu habari za mchana..
Ninatatizo kidogo na samsung note 2,,inapandisha G na iko slow sana kwenye internet,,ni vipi naweza kufix hili tatizo ili isome H+...
Kwenye network mode ipo kwenye WCDMA/GSM
Leo kipindi naangalia salio kwenye akaunti ya voda nikaona kuna ujumbe unaosema ....."pata hadi GB 80 kwa Tsh 200! tu piga *149*01# sasa" ukienda huko sioni chochote mwenye uelewa wa hili tafadhari.
Habari wataalam
SOry nina ipad 1, nimeapgrade hadi IOS 5.1 but now najaribu kuload app zinanataka IOS 7, nikijaribu kuapdate inasema version ya zamani haiwezi upgrade, mnanisaidiaje wataalam waa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.