Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Walioitumia na wanaoitumia naomba wanisaidie tafadhali TECNO L5 inakaa na chaji kwa siku ngapi kwa data ya 3G ikiwa ON while on heavy usage. Je,TECNO L5 na L8,ipi inayokaa na chaji zaidi ya mwenziye?
0 Reactions
62 Replies
9K Views
nimenunua smartphone tigoshop ZTE kiss 3. line moja lazima iwe ya tigo lakini nyingine ni yoyote. tatizo upande wa line yoyote 3g haisomi. je ni kawaida kuwa hivyo kwa smartphone za tigo au...
0 Reactions
1 Replies
818 Views
naombeni kwa yeyote anae jua jinsi ya kuunganisha Whatsapp kwenye NOKIA ASHA 205
0 Reactions
5 Replies
3K Views
What people might learn from the combined companies after the Microsoft deal. Zara Kessler ZaraKessler June 27, 2016 — 6:20 PM AST You’re staring at a spreadsheet and you’re stumped. Waiting...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi wanajamii mwenye uelewa wa kufanya installation ya Linux 17.3 ukiwa una run windows 8.1 (multiple OS) anisaidie plz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mimi natumia simu ya mchina tena mchina ambao wamejitahidi kuutengeneza unajitahid kwa kweli kupiga kazi chakushangaza toka ile siku ya TCRA ilipofika hadi leo simu yangu bado inajinwaga itajavyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuflash cmu ni kosa kisheria lakn nashangaa kwa nn baadh ya mafundi wameandika mabango "TUNAFLASH SIMU,KUTOA LOCK N.K" Je hawa mafundi hawajui kama kufanya hvyo ni kosa? Au mm ndo cjui nn maana ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna mchezo unafanywa na makampuni ya simu wa kuwaibia watu! Simu yangu ilikuwa haipandishi mnara/inapoteza network. Nikaenda kampuni moja (siitaji kwa sasa). Nikawaeleza tatizo wakasema hiyo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi, Kuna dogo anatamani kusoma programming languages zitakazomwezesha kutegeneza programs zitakazoweza kutumika kwenye simu zinazotumia android na nyingenezo. Elimu yake ni kidato...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni mara nyingi sana nyimbo yaweza kusikika iwe kwenye radio, club au daladala na ukaipenda sana ila hujui jina la msanii wala jina la wimbo huo na hua inakera sana,, NJIA YANGU YA KWANZA...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Msaada wakuu, computer inazingua, haitaki kuwaka, inaniletea maandishi, ATTEMPTING BOOT FRON CD- ROM ATTEMPTING BOOT FROM HARD DRIVE BOOTMRG IS MISSING PRESS CTRL * ALT* DEL to restart...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Now alkoholism is not the number one cause of car accidents among youths. The number one cause of accidents and even deaths is the usage of phones while driving. Car designer are required to...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Wakuu, naombeni msaada wenu wa kitaalamu. Nilinunua Photocopy Machine mpya Canon IR 2520, nimeweka Drum na Toner lakini kila nikijaribu kutoa copy inatoka Plain yaani bila maandishi. Naombeni...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Jamani wakuu, Naombeni msaada juu ya kusolve ilo tatizo litatokea pale ninapo piga picha kwa simu yangu.. Nikienda kufungua kwa gallery inaonyesha giza na huo ujumbe hapo juu. Sasa hata picha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesikia leo polisi wanafungua call center, hivi hii system iko vp?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za mchana.. Ninatatizo kidogo na samsung note 2,,inapandisha G na iko slow sana kwenye internet,,ni vipi naweza kufix hili tatizo ili isome H+... Kwenye network mode ipo kwenye WCDMA/GSM
0 Reactions
4 Replies
938 Views
Leo kipindi naangalia salio kwenye akaunti ya voda nikaona kuna ujumbe unaosema ....."pata hadi GB 80 kwa Tsh 200! tu piga *149*01# sasa" ukienda huko sioni chochote mwenye uelewa wa hili tafadhari.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbr!wakuu ningependa jua utofauti wa kucrack window 10 kwa kms pico or other crack na mtu alinunua kabisa o alieweka product key!?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wataalam SOry nina ipad 1, nimeapgrade hadi IOS 5.1 but now najaribu kuload app zinanataka IOS 7, nikijaribu kuapdate inasema version ya zamani haiwezi upgrade, mnanisaidiaje wataalam waa...
0 Reactions
2 Replies
787 Views
Naombeni msaada wa kupata mkanda wa Hard disk SONY VAIO VGN-SR26
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom