kama hio pc imekuja na windows 8 hukuieka mwenyewe inamaana itakuwa ina secure boot ambayo ni security kwenye UEFI hivyo huwezi kuboot kitu chochote mpaka kiwe signed na microsoft wenyewe.
hivyo hapo kabla hujafanya lolote utatakiwa kudisable hio secure boot kwanza. soma hapa kudisable hio secure boot na kueka linux
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.