smartphone haina 3g, msaada jamani

smartphone haina 3g, msaada jamani

genious wa kijiji

Senior Member
Joined
May 1, 2014
Posts
173
Reaction score
250
nimenunua smartphone tigoshop ZTE kiss 3. line moja lazima iwe ya tigo lakini nyingine ni yoyote. tatizo upande wa line yoyote 3g haisomi. je ni kawaida kuwa hivyo kwa smartphone za tigo au natakiwa kufanya nini nipate huduma ya 3g!?
 
Kawaida kwa simu za bei chee (Low range smartphone) ambazo ni line 2. Line ya kwanza tu ndio inasoma 3G. Ile line 2 ni EDGE
 
Back
Top Bottom