Kuflash cmu ni kosa kisheria lakn nashangaa kwa nn baadh ya mafundi wameandika mabango "TUNAFLASH SIMU,KUTOA LOCK N.K" Je hawa mafundi hawajui kama kufanya hvyo ni kosa? Au mm ndo cjui nn maana ya kuflash cmu!! Au niajeniaje?
Nchi zenye watu wenye dhamana ambao wanatanguliza matumbo yao mbele kama Tanzania badala ya kupiga kazi kuweka tangazo kama hilo ni ruksa wala hakuna mtu atakaekusumbua kwani watu wako busy kupigania matumbo yao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.