Bila shaka malengo ya TCRA yameshindwa kufikiwa ama ujanja wa Wachina katika kutengeneza Simu feki ni mkubwa kuliko walivyofikiri TCRA
Bila shaka TCRA walikuwa wakibaini simu fake kwa kuangalia...
Wana JF,
Poleni na majukumu ya siku nzima, jamani simu yangu nokia XL inakataa program ya whatsapp na kila niki install inakata kufunguka inaniambia kuwa device is not supported. Naombeni msaada...
Nina Huawei tajwa hapo juu.
Tatizo lake ilianguka na ukiiwasha inawaka, nembo ya Huawei inatokea na haimaliziki inajirudiarudia, au inawaka vizuri.
Baada ya sekunde kadhaa inapoyeza kumbukumbu...
Habar wakuu,
Naomba msaada kwa yeyote anayejua jambo ili la kuupdate software ya samsung galaxy s3, model SHV-E210S, android version yake kwa sasa ni 4.3.
Nimejalibu mala ya kwanza imenletea...
Wakuu msaada kwenye sumsung yangu imegoma kabisa kusoma mitandao jana ilikuwa haisomi mtandao mmoja yaani VODA ila kwa sasa imegoma kabisa mitandao yote, haisomi, ila internet inafanya kazi, Nini...
Habar za mchana wakuu,
Laptop yangu ni Aina ya dell vostro 1200 mwanzo ilikua na tatizo LA kuzima yenyewe hata kama ilikua haijapata joto Sana, sasa basi tokea juzi haiwaki kabisa. Msaada wakuu...
Tatizo Limeanza Jana Nilipoiwasha Ikawaka Na Kuonyesha Boot Options Lakini Windows Haikuload Nikadhani Ni Windows Imecorrupt Kila Nikijaribu Kuweka Windows Nyingine Inagoma. Kufikia Usiku Ikawa...
Siku za hivi karibuni nimesikia baadhi ya marafiki na watu wa karibu wakilalamika kwamba kuna watu wamekuwa wakiwadukua mawasiliano yao.
Kwamba chochote wanachofanya wao iwe kupigiwa simu ama...
Habarin wadau naomba kufahamshwa n bank gan (mbal na CRDB) naweza fungua akaunti bila usumbufu wa kupeleka barua toka serikal za mitaa ila wawe na master au visa card
Wakuu nahitaj ushaur kwa wale matechinician wa computer ..nina laptop yangu kuna baadhi ya button hazifanyi kaz ...na pia mouse haisens..laptop yangu ni acer..msaada wa mawazoo wakuu...
Salaam,
Naomba kujua fundi mzuri wa LG nina simu yangu aina ya LG G4 ilianza tatizo la kuzima ghafla na kuchukua mda mrefu kuwaka.
Ikiwaka ukiingia kwenye programu yoyote inazima tena na...
habari zenu wanajf,naomben mnijuze vp ntaweza kuanzisha website yng mi mwenyewe au kuna process zp ambazo natakiwa kufuata kufanikish hvyo?naombeni msaada sana wandugu natumia nokia6120c au kama...
Wadau naomben mnisaidie hapa hiv nnaweza ku'upgrade android version ya 5.1 (phantom 5) kwenda version 6
Kama inawezekana unafata hatua zip ili niweze ku'upgrade
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.