Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari! Wakuu na shida upande wa huawei ec315 jinsi ya kuifanyia update na kui unlock but port aidectet nitumia which way!?
1 Reactions
0 Replies
779 Views
Android gani ya cheap price ambayo ina camera walau nzuri kukalibia au kufikia iphone??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu yangu inaniandikia enter the privacy protection password, nifanyaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari, Elimu ni bahari, na popote pale waweza pata elimu, kwa kuzingatia hilo naleta kwenu wana jamvi, ombi la kufafanuliwa kwa undani juu ya lenses za Digital Cameras kama NIKON au CANON na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kwa wanaofanya biashara ya spare parts za photocopy machines ninahitaji control panel ya Nashuatec DSM 735. Napatikana kwa namba 0713488889
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Wakuu naombeni msaada, niliibiwa simu hivi karibuni kibaya zaidi mwizi namfahamu na picha zake ninazo tatizo ni kwamba nimejaribu kwenda polisi sijapata msaada zaidi ya kufungua faili tu. Mbaya...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Nahitaji kujua Ku design electronic CCT kama inverter, amplifier, security system, n.k Nahitaji miongozo, kielimu nipo chuo kikuu mwaka wa pili mechanical engineering ila napenda electronics CCT...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu.. nina simu aina ya Samsung Galaxy Ace 4 neo. Tatizi ninalolipata ni speed. Sielewi tatizo ni lipi hasa. Je ni RAM? SOFTWARE VERSION? au nini? Suala la software ilikuwa ipo built na...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wataalam habari zenu, Nimekuja naomba msaada ninahitaji msaada juu ya kuanzisha Data Base ya watu wengi inafananaje hyo Data Base?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
za leo ndugu zantel wanakupa modem mpya ina 21Mbs kama downlink na 5.7Mbs kama uplink speed bado sijaanza kuzitumia so nauliza wenye uzoefu waniambie zikoje? speed yake pia tatizo langu ni warrat...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari za leo wanaforum yetu pendwa, kama heading inavyosema hapo juu. hapa ofisini kwetu zimekuja computer za msaada zikitumia N computing system. awali zilikuwa zinapiga kazi fresh tu. Ila sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajuzi naomba msaada wa kuifanya Play store iweze kudownload kama kawaida.Play store imekuwa ikiandika download pending.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kifup napenda niangalie vitu vyangu vya kwenye smartphone kupitia tv screen. Kwa mfumo wa wireless naona kutumia wi fi ya tv ni bora zaid. Lakin nimeshangaa sony bravia tv yangu haina built in...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
wadau niliweweka kwenye archive files zangu kadhaa na kuamua kuzifungia kabisa na password. lakini sasa najaribu kuingiza password week ya tatu hii zote zinakataa. je kuna namna gani ya kuokoa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
akaunti yangu ya gmail imefungwa msaada hatua za kuirejesha.Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
rejea kicha cha habari hapo juu.Akaunti yangu ya gmail haifunguki.Nijaribu kuingia wanasema ukurasa haupatikani.Cjui tatizo nn kwa anaejua. hatua za kuweza kusolve hli tatzo. nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Simu yangu inakuwa inazima na kuwaka nifanyeje
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Galaxy note 2, line ya tigo haisomi mtandao ila internet inafanya kazi. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Ndugu zangu hili tatizo la DNS Server not found mbona linazidi kuwa sugu Suruisho lake la kudumu ni nini hasa?
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Walioitumia na wanaoitumia naomba wanisaidie tafadhali TECNO L5 inakaa na chaji kwa siku ngapi kwa data ya 3G ikiwa ON while on heavy usage. Je,TECNO L5 na L8,ipi inayokaa na chaji zaidi ya mwenziye?
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Back
Top Bottom