Naomba msaada jinsi ya kuinstall Whatsapp kwenye Nokia XL

Naomba msaada jinsi ya kuinstall Whatsapp kwenye Nokia XL

itagata

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
218
Reaction score
77
Wana JF,

Poleni na majukumu ya siku nzima, jamani simu yangu nokia XL inakataa program ya whatsapp na kila niki install inakata kufunguka inaniambia kuwa device is not supported. Naombeni msaada kwa mtu anaejua jinsi ya kuinstall whatsapp!
Asanteni.
 
Kwa kuanzia baada ya kuinstall ikisema 'device not supported' toka nenda kwenye contacts, chagua contact moja click message option utapewa options 2 yaani SMS na whatsapp message chagua whatsapp tuma message, ikienda nenda tena ufungue whatsapp messenger uone kama bado kuna error message. Fanya hivyo kwanza halafu urudi.
 
Nashukuru kaka, lakn nimejaribu kufanya ulivyoshauri lakn bado inaniambia kuwa device is not supported. Nifanye nn hapa?
 
Wana JF,

Poleni na majukumu ya siku nzima, jamani simu yangu nokia XL inakataa program ya whatsapp na kila niki install inakata kufunguka inaniambia kuwa device is not supported. Naombeni msaada kwa mtu anaejua jinsi ya kuinstall whatsapp!
Asanteni.

Nilishawahi kujaribu kui install whatsapp kwenye simu kama yako but ikagoma hata baada ya kufata procedure nilizozipata baada ya ku google!!nadhani hizo simu za Nokia XL hazisupport whatsapp!!


Sent from my iPhone 4s using JamiiForums
 
Nilishawahi kujaribu kui install whatsapp kwenye simu kama yako but ikagoma hata baada ya kufata procedure nilizozipata baada ya ku google!!nadhani hizo simu za Nokia XL hazisupport whatsapp!!


Sent from my iPhone 4s using JamiiForums

Mkuu mbona nilishapost hiyo kesi hapa hebu tazama hapa chini, ukifanikiwa ulete mrejesho tafadhali



mimi binafsi natumia nokia x hvyo natoa maelekezo kusaidia wanajf leo.
1.ingia kwenye settings>security>unknown sources hapo utaweka tick ili uweze ku-allow installation from unknown sources.
2.ingia internet kupitia browser ya kawaida km mozila au yoyote ile usiingie kwenye nokia store wala 1mobile market hutapata setup inayotakiwa, hivyo ukiwa kwenye internet search "OLD VERSION OF WHATSAPP PLUS" au WHATSAPP PLUS hapo utaidownload then install kwa kufuata maelekezo ya kawaida.
Simu nyingi hukataa kuinstall whatsapp plus new version ndio maana nashauri watu watumie hyo old version kwanza, ukisha-install itaonekana ina rangi ya blue tofauti na whatsapp ya kawaida ambayo hua na rangi ya kijani.
Asanteni sana. Utauliza ukikwama popote.

Naomba kuwasilisha
 
voda wanauza android laki, tigo laki na 30 unainjoy every app updated, hata mi nlikua mbishi sana nlikua natumia nokia c6-00 but nlipojaribu mziki wa system android nimeipiga benchi. Kamata android iwe tecno, huawei, pantech n.k injoy ulimwengu wa smatphone
 
Mkuu mbona nilishapost hiyo kesi hapa hebu tazama hapa chini, ukifanikiwa ulete mrejesho tafadhali



mimi binafsi natumia nokia x hvyo natoa maelekezo kusaidia wanajf leo.
1.ingia kwenye settings>security>unknown sources hapo utaweka tick ili uweze ku-allow installation from unknown sources.
2.ingia internet kupitia browser ya kawaida km mozila au yoyote ile usiingie kwenye nokia store wala 1mobile market hutapata setup inayotakiwa, hivyo ukiwa kwenye internet search "OLD VERSION OF WHATSAPP PLUS" au WHATSAPP PLUS hapo utaidownload then install kwa kufuata maelekezo ya kawaida.
Simu nyingi hukataa kuinstall whatsapp plus new version ndio maana nashauri watu watumie hyo old version kwanza, ukisha-install itaonekana ina rangi ya blue tofauti na whatsapp ya kawaida ambayo hua na rangi ya kijani.
Asanteni sana. Utauliza ukikwama popote.

Naomba kuwasilisha

Asante mkuu ngoja nitaifanyia kazi ingawa sio Leo wala kesho maana simu yenyewe haikuwa yangu


Sent from my iPhone 4s using JamiiForums
 
Natumia simu kama hiyo lakini nimejaribu kuweka whatsapp plus bado haikubali, nikawatafuta watu wa nokia jibu walilonipa ni kuwa bado wanafanya mazungumzo na mmiliki wa app hiyo. Lakini wakaniomba niende oficn kwao wanisaidie, sijaenda
 
Natumia simu kama hiyo lakini nimejaribu kuweka whatsapp plus bado haikubali, nikawatafuta watu wa nokia jibu walilonipa ni kuwa bado wanafanya mazungumzo na mmiliki wa app hiyo. Lakini wakaniomba niende oficn kwao wanisaidie, sijaenda

Weka old version mkuu mbona kwangu natumia
 
Mkuu mbona nilishapost hiyo kesi hapa hebu tazama hapa chini, ukifanikiwa ulete mrejesho tafadhali



mimi binafsi natumia nokia x hvyo natoa maelekezo kusaidia wanajf leo.
1.ingia kwenye settings>security>unknown sources hapo utaweka tick ili uweze ku-allow installation from unknown sources.
2.ingia internet kupitia browser ya kawaida km mozila au yoyote ile usiingie kwenye nokia store wala 1mobile market hutapata setup inayotakiwa, hivyo ukiwa kwenye internet search "OLD VERSION OF WHATSAPP PLUS" au WHATSAPP PLUS hapo utaidownload then install kwa kufuata maelekezo ya kawaida.
Simu nyingi hukataa kuinstall whatsapp plus new version ndio maana nashauri watu watumie hyo old version kwanza, ukisha-install itaonekana ina rangi ya blue tofauti na whatsapp ya kawaida ambayo hua na rangi ya kijani.
Asanteni sana. Utauliza ukikwama popote.

Naomba kuwasilisha

Mm natumia
nokia n 73 nina tatizo hilohilo nisaidieni.
 
Nashukuru kaka, lakn nimejaribu kufanya ulivyoshauri lakn bado inaniambia kuwa device is not supported. Nifanye nn hapa?

Ok fuata hatua hizi:
1. Download whatsapp version 2.11.238 hapa chini:
whatsapp v 2.11.238
2. Kabla ya ku install nenda kwenye settings> time settings. Disable nerwork time autoupdate, shuka chini rekebisha tarehe iwe mfano 04/06/2014.
3.Install hiyo whatsapp fanya registration.
4. Huenda ikakwambia device not supported au ikafunguka bila issue yoyote. Vyovyote iwavyo hii ni kwa ajili ya phone number authentication.
5. Itoe (uninstall) baada ya regiatration kisha nenda tena kwenye settings activate network time autoupdate kisha
6.Download whatsapp plus latest hapa chini:
whatsapp+ v 6.13
7. Baada ya kuinstall fanya registration tena kama mwanzo.
Enjoy!
 
Ok fuata hatua hizi:

1. Download whatsapp version 2.11.238 hapa
chini:

whatsapp v 2.11.238

2. Kabla ya ku install nenda kwenye settings>
time settings. Disable nerwork time
autoupdate, shuka chini rekebisha tarehe iwe
mfano 04/06/2014.

3.Install hiyo whatsapp fanya registration.

4. Huenda ikakwambia device not supported
au ikafunguka bila issue yoyote. Vyovyote
iwavyo hii ni kwa ajili ya phone number
authentication.

5. Itoe (uninstall) baada ya regiatration kisha
nenda tena kwenye settings activate network
time autoupdate kisha

6.Download whatsapp plus latest hapa chini:
whatsapp+ v 6.13

7. Baada ya kuinstall fanya registration tena
kama mwanzo.

Enjoy!
 
mm natumia
nokia n 73 tatizo langu kama hilo nawaombeni msaada.
 
Back
Top Bottom