Samsung yangu DUOS haisomi mtandao tangu jana

Samsung yangu DUOS haisomi mtandao tangu jana

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,574
Reaction score
8,907
Wakuu msaada kwenye sumsung yangu imegoma kabisa kusoma mitandao jana ilikuwa haisomi mtandao mmoja yaani VODA ila kwa sasa imegoma kabisa mitandao yote, haisomi, ila internet inafanya kazi, Nini tatizo? na kuna solution yake au ndo imetoka?
 
Internet itafanyaje kazi bila mtandao? Una unamaanisha mtandao gani tukusaidie!
 
Back
Top Bottom