Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada jamani naitaji update Rom ya Marshmallow Samsung Galaxy A5 5000 naombeni link.
0 Reactions
4 Replies
989 Views
Kama unatumia tecno c8 na bado hujafanya update ya android 6.0 (Marshmallow) with HiOS ingia kwenye link hii na ufuata maelekezo. Yapo kwa kiswahili ukikwama uliza utajibiwa. [OFFICIAL VERSION]...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari nilikuwa nahitaji kujua kama kuna application ya virtual dj inayofanya kazi kwenye smartphone
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu habari za muda. Nina betri kubwa ya gari. Aina ya EXIDE volt 12 ( N150).Swali langu ni je hii betri nikiifungia solar panel itaweza kudumu pasipo kupoteza ubora wale?. Je kwa hiki kioo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inawezekana Ku Update Tecno C8 kwenda Marshmallow na HiOS??
0 Reactions
1 Replies
708 Views
I phone 6 dukan ni shiling ngapi
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Habari Ninatumia windows phone ,tatizo ni kuwa siwezi kupata menu za Tigo pesa na mpesa yaani kila ni nikipiga *150*01# au *148*00# nakadhalika inanipa unknown error.naomba mwenye maujuzi ananisaidia
0 Reactions
7 Replies
3K Views
gsm.dob.placeholder gsm.dob.placeholder
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nitumie app gani kusoma THE CURRENT MAP VIEW, ambayo inaonyesha vitu halisi vilivyopo kawa sasa, mfano nikipaki gari kisha nikaingia kwenye map location Nione kwa muda huo huo. Niliyonayo kwenye...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili Naomba msaada niweze kufungua gmail account yangu maana imenigomea kila ninapojaribu ku-log in inasema wrong password na nimejaribu kufuata procedure za kusahau...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
HAbari ya nyinyi wana jamvini, wengi tumekuwa tunatamani kupata access ya Wireless intenet , But kikwazo ni key za kuweza kuingia ili tupate access ya internet, mdogo wenu nimezama machimbo yote...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Mwaka juzi bro alinunua ipad min 3 akatengeneza icloud account n mwaka jana ameniachia na bahati mbaya amesahau icloud password yake na mm inanitesa sielewi ni njia gani ya kuitoa icloud email na...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Naomba kujua ni kwanini hili linatokea, ni kwamba TCRA hawana uwezo wa ku control baadhi ya makampuni au kuna ujanjaujanja??. Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari Wanajamii, Nauliza hii ndio tuliambiwa Tanzania wameanza kutengeneza helicopter
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna jamaa anataka kuniuzia modem kwenye picha, kwa mtu yoyote ambaye amewahi tumia nataka nijue performance yake ipo poa? Na vipi haichagui line kweli? Ipo poa kwa 4G kweli?
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu habari. Nina simu LG g3, nilikuwa safarini nikawa na mapumnziko ya siku 2 mjini Maputo, ambako niliuziwa hiyo simu niliyoitaja hapo juu. Baada ya kuitumia kwa muda wa kama wa mwezi mmoja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam jf. Simu y angu aina ya Samsung Galaxy Y Duos S6102. Nilifanikiwa kuiroot na kuifanyia custom kutoka 2.3.6 gingerbread kwenda 4.4 kit kat sasa hii kitu 4.4 ikawa imemaliza memory yote...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna system moja ya custom nimekutana na hizi terms IM7, IM4, IM5, EX1, n.k Nimejaribu ku-google lakini bado sijapata business process inavyokuwa kwa kila aina ya hizi terms. Naomba mwenye...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Habari za leo wadau......naomba kuwasilisha kwenu na kuomba msaada wa ushauri juu ya microphone nzuri na affordable kwa ajili ya kurusha matangazo ya moja kwa moja i mean kama ya radio za...
1 Reactions
0 Replies
778 Views
Back
Top Bottom