Mueleka wa TCRA kwenye Simu fake

Dumelang

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
3,194
5,598
Bila shaka malengo ya TCRA yameshindwa kufikiwa ama ujanja wa Wachina katika kutengeneza Simu feki ni mkubwa kuliko walivyofikiri TCRA

Bila shaka TCRA walikuwa wakibaini simu fake kwa kuangalia IMei iliogushiwa tu, ambayo haikutolewa na GSM, kqma simu ilikuwa na Imei ya namna iyo basi ilifungiwa lakin simu iliyokuwa na Imei iliotolewa kimataifa alafu ikawekwa kwenye simu fake TCRA iyo iliwapiga mueleka na hawakuikamata.

Na lengo la TCRA bila shaka halikuwa simu zenye viwango duni ilikuwa ni Imei zisizotambulika tu. Huku mtaani Simu za viwango duni zimejaa na zinadunda, simu za tachi za elfu 45 ambazo kama si mzoefu kidole kinachubuka kwa kui slide wakati wa kuitumia zimejaa

Kwa mfano mimi nna Simu ina jina Samsung ukiiona hata kuuza nauza bila tatizo kama orijino, lakini Ni fake Imei yake ni ya D.Tel na haikuzimwa, swali ni kwanini? kwasababu Imei ni halisi ila simu ndio fake.

Hizi za hivi zipo kibao mtaani, wachina ni wajanja wanachukua GSM Imei au utambulisho wa simu halisi wanaweka kwenye simu zao za viwango Duni na zisizo halisi(fake) sasa kwakuwa TCRA wanatumia tu Imei ku detect basi hili kwao ni mueleka.

Kwa mujibu wa TCRA walizima simu takribani laki 6 hapa ni pamoja na simu zenye Imei mbili na ndizo nyingi, ukiunganisha ni takriban simu laki 3 tu zilizozimwa. Hivi ni kweli? nchi hii simu fake laki 3? hapa mmekula mueleka

Nadhani niwapendekezee serikali njia mbadala wa kuepukana na simu fake na viwango duni nikusimamia uingizaji tu basi la sivo simu fake zimewalamba chenga mtaani zimejaa, wafanya biashara k.Koo nao walishangaa mbona bado zinafanya kazi, wananchi wanasema walikurupuka mbona simu zinafanya kazi, wengi tulikuwa na simu tulizojua zinazimwa ila imekuwa kinyume.

 
Subiri mkuu zinazimwa kwa wakati wakimaliza hapo wanahamia Kwenye Frij feki after that computer fake
Watazima tu maana hata plate namba za pikipiki zinazofanana na za magari walizizima japo bado zipo barabarani. Hii ndio Tanzania
 
Somo la bure. Kulikuwa na zoezi la kublock simu kwa aina mbili. Ya kwanza, block simu zinazotumia Invalid IMEI. Pili, block simu zenye duplicate IMEI. Nan anablock simu? TCRA sio wanao block simu , zoez hili linafanywa na makampuni ya simu yote ya Tanzania bila kuteegemeana.TCRA haina mtambo wowote wa kublock simu. Hivyo basi kutokana na zoezi hili mambo yafuatayo yamejitokeza,
Mosi Kama simu yako ni fake lakini inatumia valid IMEI hakuna kampuni litakublock, pili. Kama simu yako ni original lakin kuna mtu katika mtandao wako ana simu ya mchina anatumia IMEI yako hyo wote wawili manablokiwa.kuna swali?
 
Walizozigundua kuwa ni fake ni laki sita baada ya kuzima mbona hatujapata mrejesho wamezima ngapi mpaka sasa
 
Somo la bure. Kulikuwa na zoezi la kublock simu kwa aina mbili. Ya kwanza, block simu zinazotumia Invalid IMEI. Pili, block simu zenye duplicate IMEI. Nan anablock simu? TCRA sio wanao block simu , zoez hili linafanywa na makampuni ya simu yote ya Tanzania bila kuteegemeana.TCRA haina mtambo wowote wa kublock simu. Hivyo basi kutokana na zoezi hili mambo yafuatayo yamejitokeza,
Mosi Kama simu yako ni fake lakini inatumia valid IMEI hakuna kampuni litakublock, pili. Kama simu yako ni original lakin kuna mtu katika mtandao wako ana simu ya mchina anatumia IMEI yako hyo wote wawili manablokiwa.kuna swali?
Sasa hapo lengo la kuzima simu fake ni lipi? kama simu fake zenye valid Imei zipo zinadunda? mlaji wanamlindaje na madhara ya simu fake? hapa ndio utakua kitu kinaitwa kukurupuka, sio kila kitu ambacho dunia inafanya sie tunakuwa wa kwanza. Wakati ndio kwanza tunajifunza teknolojia.

Siku si nyingi wataanza kuzima pikipiki fake Subiri uone
 
Bila shaka malengo ya TCRA yameshindwa kufikiwa ama ujanja wa Wachina katika kutengeneza Simu feki ni mkubwa kuliko walivyofikiri TCRA

Bila shaka TCRA walikuwa wakibaini simu fake kwa kuangalia IMei iliogushiwa tu, ambayo haikutolewa na GSM, kqma simu ilikuwa na Imei ya namna iyo basi ilifungiwa lakin simu iliyokuwa na Imei iliotolewa kimataifa alafu ikawekwa kwenye simu fake TCRA iyo iliwapiga mueleka na hawakuikamata.

Na lengo la TCRA bila shaka halikuwa simu zenye viwango duni ilikuwa ni Imei zisizotambulika tu. Huku mtaani Simu za viwango duni zimejaa na zinadunda, simu za tachi za elfu 45 ambazo kama si mzoefu kidole kinachubuka kwa kui slide wakati wa kuitumia zimejaa

Kwa mfano mimi nna Simu ina jina Samsung ukiiona hata kuuza nauza bila tatizo kama orijino, lakini Ni fake Imei yake ni ya D.Tel na haikuzimwa, swali ni kwanini? kwasababu Imei ni halisi ila simu ndio fake.

Hizi za hivi zipo kibao mtaani, wachina ni wajanja wanachukua GSM Imei au utambulisho wa simu halisi wanaweka kwenye simu zao za viwango Duni na zisizo halisi(fake) sasa kwakuwa TCRA wanatumia tu Imei ku detect basi hili kwao ni mueleka.

Kwa mujibu wa TCRA walizima simu takribani laki 6 hapa ni pamoja na simu zenye Imei mbili na ndizo nyingi, ukiunganisha ni takriban simu laki 3 tu zilizozimwa. Hivi ni kweli? nchi hii simu fake laki 3? hapa mmekula mueleka

Nadhani niwapendekezee serikali njia mbadala wa kuepukana na simu fake na viwango duni nikusimamia uingizaji tu basi la sivo simu fake zimewalamba chenga mtaani zimejaa, wafanya biashara k.Koo nao walishangaa mbona bado zinafanya kazi, wananchi wanasema walikurupuka mbona simu zinafanya kazi, wengi tulikuwa na simu tulizojua zinazimwa ila imekuwa kinyume.

 
Back
Top Bottom