Msaada Huawei P6 inawaka na kujizima

Msaada Huawei P6 inawaka na kujizima

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
834
Nina Huawei tajwa hapo juu.


Tatizo lake ilianguka na ukiiwasha inawaka, nembo ya Huawei inatokea na haimaliziki inajirudiarudia, au inawaka vizuri.

Baada ya sekunde kadhaa inapoyeza kumbukumbu, logo ya Huawei inatokea na kujirudiarudia na inapata moto sana.
 
Kunamtu anaitwa wanatamani,,upo mkuuu
 
Hapo sijui kama emmc haijakufa.

Kwanza jaribu software solutions
-jaribu kuihard reset
-ikikataa install upya firmware (kuiflash)

Kama bado inakataa itakuwa emmc imezingua
 
Emmc ndo nini mkuu,,,niliipeleka kwa mdada m1 pale kkoo anasifika akaseema inalod file,,ikifika kati inakata,,,
 
Emmc ndo nini mkuu,,,niliipeleka kwa mdada m1 pale kkoo anasifika akaseema inalod file,,ikifika kati inakata,,,

Emmc ndio internal storage ya simu, kama hata kuflashika haiflashiki inamaana emmc Ina matatizo kweli na Mara nyingi hazitengenezeki hadi ubadili motherboard.

Jaribu ile njia ya kuflash na memory card.

Download firmware toka website ya huawei ya hio p6, extract hio firmware halafu utapata file, eka memory card kwenye simu halafu tengeneza folder linaloitwa dload halafu eka file uliloextract then Zima simu halafu washa kwenye download mode jaribu kuflash simu
 
Chef,mkwawa unaweza nisaidia jinsi
y a Kupata

hio motherboard ,au kunitengezea
 
Chef,mkwawa unaweza nisaidia jinsi
y a Kupata

hio motherboard ,au kunitengezea

Hapana sifahamu wala mimi si fundi WA hivyo vitu.

Ila huawei si wana ma agent wao Tanzania? Why usiwaone hao na kama Ina warranty itakua vizuri zaidi
 
Hapana sifahamu wala mimi si fundi WA hivyo vitu.

Ila huawei si wana ma agent wao Tanzania? Why usiwaone hao na kama Ina warranty itakua vizuri zaidi

Yaani hapo Chief sijakupata vema sio jibu nililotarajia kwa mtu anayeomba kutengenezewa motherboard. Hivi kuna fundi anayeweza? Si sawa na mtu kuomba atengenezewe hdd au memory card? Tanzania kuna kiwanda cha kutemgeneza hardware za simu?
 
Yaani hapo Chief sijakupata vema sio jibu nililotarajia kwa mtu anayeomba kutengenezewa motherboard. Hivi kuna fundi anayeweza? Si sawa na mtu kuomba atengenezewe hdd au memory card? Tanzania kuna kiwanda cha kutemgeneza hardware za simu?

ameuliza jinsi ya kupata motherboard,

na pia zinatengenezeka motherboard kipindi cha zamani cha s40 nakumbuka ikifa ac ya network unabadilishiwa tu nyengine, fundi anaipiga blower anaichomoa anachomeka nyengine. emmc ni sehemu tu kwenye motherboard ya storage kama utapata nyengine toka p6 mbovu au kama zinauzwa unaweza toa yako ukachomeka nyengine

kama hapa aliexpress wanaiuza
Aliexpress.com : Buy For HUAWEI P6 EMMC original (there are three type EMMC for P6 : T00 / C00 / U06,please notice me which type you need ) from Reliable p6 black for sale suppliers on Professional Group Technology | Alibaba Group
 
ameuliza jinsi ya kupata motherboard,

na pia zinatengenezeka motherboard kipindi cha zamani cha s40 nakumbuka ikifa ac ya network unabadilishiwa tu nyengine, fundi anaipiga blower anaichomoa anachomeka nyengine. emmc ni sehemu tu kwenye motherboard ya storage kama utapata nyengine toka p6 mbovu au kama zinauzwa unaweza toa yako ukachomeka nyengine

kama hapa aliexpress wanaiuza
Aliexpress.com : Buy For HUAWEI P6 EMMC original (there are three type EMMC for P6 : T00 / C00 / U06,please notice me which type you need ) from Reliable p6 black for sale suppliers on Professional Group Technology | Alibaba Group

Sasa nimekupata vema
 
Hiyo simu inaweza ikawa na tatizo la betri ukimpelekea fundi ajaribu kubadilisha betri kwanza
Hiyo simu akienda nayo kichwa kichwa inaweza kuzima moja kwamoja naisije kuwaka tena.
 
Hazole,umesema ni battery? How ? Ukichaji inapata moto sana,na kama nilivosema inapoteza kumbukumbu.
 
Chief mkwawa asante kwa msaada wako mkubwa mkuu,,ngoja nijaribu kuangalia kwa web ulionipa.
 
Ilinitokea na ikanitoka laki mbili...tatizo hapo mpaka motherboard ibadilishwe..nenda ofc za huawei zamani walikua na ofic yao pale sayansi...nyuma ya jengo la sayansi
 
Adolph ulinunua motherboard......asante mkuuuuu
 
firmware kazi yake nini kwa simu,na inahitajika now?
 
Chief mkwawa,,nilipata motherboad,nikabadilisha,lakini tatizo liko palepale,,nini tatizo tena?
 
aaaa mm na huwawei ya kawaida sio p6 ishakuwa na tatizo hilo na huwa inakuwa na tatizo hilo pindi nikitoa betri na ilianza tatizo hilo baada ya kuidondosha hapo mchawi ni betri mkuu sio kwamba betri ni mbovu hapana .jaribu kufanya hivi?? safisha zile pin zinazoshika terminal za betri.

harafu hiyo betri iwekee kitu kama karatasi ili ishike vizuri ijikandamize kwenye zile terminal.

namaana mwishoni mwa betri weka karatasi.mm huwa nikitoa betri huwa inafanya hivyo sana tuu.ila nikicheza nayo inatulia fresh
 
Back
Top Bottom