Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani mwenye software tajwa hapo juu naomba tuwasiliane, nahitaji full version na sio crack
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natumia vodafone 785 ya laini moja. ninaomba msaada wa ku unlock ili niweze kutumia laini tofauti na VODACOM IMEI NO 359729059554596 SVN 240HPG1 natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Kuuliza si ujinga waungwana kuna watu nimesikia wakisema computer za apple haziruhusu virus yoyote ku attack its os na ni moja ya sababu inayosababisha computer hizo ziuzwe bei kubwa..watumiaji wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naombeni muongozo nataka kununua DESKTOP nina bajeti ya 700000 nataka iwe core i7 icheze magem yote latest
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za usiku huu jamani, naombeni msaada jinsi ya kuinstall Mobdro kwenye ajili ya TV kwenye PC. Nilijaribu kufanya kama kwenye simu nikashindwa. Kwenye simu iko poa sana. Natanguliza...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Star times hakuna hata channel moja zote hata za nyumbani no access not subscribed any one with help on that or know how
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu habari za siku, ni matumaini yangu wazima wa afya.Naombeni msaada kuna images nahitaji kuzifanya zionekane vizuri ili niweze attach kwenye document (Ms Word) nimeambiwa nitumie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ingawa Speed Test sio accurate sana lakini pia Smile wameshuka kulinganisha na mwanzoni. Hii inaashiria wateja wameongezeka. Hapo kwenye setting ya speed imewekwa Highest speed ya 21Mbps HAPA...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, nina lenovo ideapad, imekuja na windows 10 installed kabisa.sasa leo nlikua nafungua settings lakini hai respond. Kwa anaejua solution ntashukuru sana[emoji120]
0 Reactions
4 Replies
698 Views
hellow wazee wa technologia , kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji external hard disk iliyo used(branz nzuri iliyo katika hali nzuri) bajeti yangu ni tsh. 120000 Nasawasilisha kwenu.
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Ndugu zangu mwenye key za hiyo software naomba anisaidie Asanteni
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Ni Tofauti na vyombo vinginevyo vya usafiri, Nimekuwa nikiona ndege nyingi (hasa hizi za kibiashara) zikiwa na rangi nyeupe tu (Ukiondoa za kijeshi) kwanini inatumika rangi hiyo tu. Kwanini...
4 Reactions
62 Replies
14K Views
Ndugu zangu me nauliza ukinunua kitu eBay au Amazon kinaweza kikanifikia salama Tanzania???
0 Reactions
3 Replies
900 Views
Oiiiiiiii wadau kuna hii kitu inaitwa Pokemon Go naona kila mtu anaiongelea ,nmejaribu kuitafuta app store naona vinakuja vitu vya ajabu ajabu,kama kuna mtu ameishaijaribu basi anipe procedure...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nataka driver itakayoniwezesha kupata details za simu ninapo iconnect kwenye computer wakati imezimwa aina za simu ni zenye chip ya mediatek
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za wakati huu....wakuu..... Hivi karibuni nilikumbana na hali isiyo ya kawaida kwenye ap ya JF iliyopelekea kuifuta.....lakini tangu baada ya kuifuta nimekuwa siipati tena kwenye jukwaa la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
679 Views
Baada ya mwaka mmoja na miezi kadhaa,idea yangu imekuja kuwa harisi baada ya kile nilicho kuwa nakiota kutimia. Lengo langu lilikuwa ni kuunda mtandao wa kijamii ambao ungekuwa na mambo...
7 Reactions
69 Replies
8K Views
u
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Nilikuwa katika mipango ya mwisho ili niweze kulipia simu ebay (Nexus 5x) kwa thamani ya 300$ (shipping included) baada ya seller kuniambia ana ship kwa fedex international priority ikabidi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom