Jamaa yuko poa sema hapo tatizo lipo kwenye serikali serikali yetu ni ngumu Sana kuwaendeleza Wenye vipaji vya aina Mbali Mbali kumekuwa na vipaji vingi sana Tanzania lakini vinakoishia hakujulikani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.