Msaada: King'amuzi cha Startimes hakionyeshi hata chaneli moja

Msaada: King'amuzi cha Startimes hakionyeshi hata chaneli moja

burahanthu

Senior Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
143
Reaction score
38
Star times hakuna hata channel moja zote hata za nyumbani no access not subscribed any one with help on that or know how
 
Je una kifurushi. ebu nenda ktk dsh lako fanya settng either limelegea

*sent from goodluck mchika blog
 
Hilo tatizo ht mimi ninalo. nimelipia lkn bado una search mwisho wa siku hazionyeshi
 
Mkuu kwenye hicho king'muzi kuna taa mbili zinatakiwa ziwake!! Yaani ya red kuonyesha power on na ya yelow kuongesha signal ya antener kuwa ipo!kama hiyo ya yelow haiwaki hilo ni tatizo la antener hivyo huweni ona kitu!
 
Mkuu kwenye hicho king'muzi kuna taa mbili zinatakiwa ziwake!! Yaani ya red kuonyesha power on na ya yelow kuongesha signal ya antener kuwa ipo!kama hiyo ya yelow haiwaki hilo ni tatizo la antener hivyo huweni ona kitu!
taa zote zinawaka na kulipia pia nimelipia lkn uki search inaenda ikifia 100 inaonuesha signal ni 0
 
Back
Top Bottom