Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji kuunlock modem ya huwawei ili itumie line yeyote ,naomba mwenye uzoefu na hii anisaidie na kama nitapata software yake nitashukuru sana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Im so sorry if am mistaken lakini since jana jioni CAS server iko down..sasa admin nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu yeyote mwenye altenative way to help...!!!
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Jamani naomba kwa anae faamu anisaidie.ninasimu yangu aina ya Tecno h6 inasumbua line one mda wote inaandika emergency na pia setting za Internet za line 2 hazionekan kwaiyo nashindwa kupata 3G...
0 Reactions
7 Replies
865 Views
Msaada wa maelekezo ivi simu kama ilizimwa na TCRA je kuna namna yoyote ya kufanya iyo simu ifunction upwa kma mwanzo na kma ipo tunafanyaje ili iwe poa tena ?? Wataaramu mtusaidie jmn maelezo
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Wakuu Nina TV aina ya Sony Bravia natamani sana kuiunganisha kwenye internet ili niweze kupakua apps lakini nimeshindwa. Nikienda kwenye settings sioni option ya internet Msaada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pita pita kwangu kwenye mitandao Leo hii nikakutana na habari kua Nokia wata toa toleo lao jipya na si jipya tu hila jipya kwenye mfumo wa Android 7.0 ujulikanao kama Nougat. Tukumbuke Nougat ni...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Ma file yangu yameingiliwa na mdudu aitwae shortcut. Nimejaribu kuli cover lakini nimeshindwa. Ila mafaili yapo ila hayafunguki. Nisaidieni nahitaji kuya unlock niyafanyie kazi. Sijui nitumie...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aliyeiloga Computer Science Tanzania naskia naye kalogwa kafa kenya kila siku wanakuja IDEA MPYA, Developers kibao Kenya lakin Tanzania wakitoka vyuo wanakimbilia kuwa mabloggers kutafuta pesa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Bila shaka wana JF mpo pouwa lengo la kuanzia uzi huu ni kwa wale wote wanaotumia mfumo endeshi wa android haswa wale waliopafanikiwa ku update toleo la Marshmallow katika simu zao. Naomba watu...
1 Reactions
134 Replies
13K Views
Kwa wale waliosumbuka na AvaFind kwenye windows 8,8.1 na 10 . Suluhisho lipo hapa : Download hii tool inaitwa Search Everything iko poa, faste,Lighter Low resources consumption na ni freeeee...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
App store imenigomea na kuniandikia hivi "The error code is 0x80072EFD, in case you need it". Nimejaribu kulitatua nimeshindwa. Msaada kwa anaefahamu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, wataalam na manguli wa fani hii ya iT inayorun dunia. Mi ni mmoja kati ya watu wanaokubali kua kuangalia movies mbali na kua ni burudani lakini pana vitu utajifunza tu...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu.Blackberry yangu z3 tangu jana inaniandikia 'SIM NOT DETECTED' sijui tatizo nini?Ilikuwa hivi jana nilipokuwa naingia kiwanda cha cement dangote mtwara simu iliniandikia...
0 Reactions
1 Replies
927 Views
Habari wakuu, kwa anaejua. Tujuzane.
0 Reactions
29 Replies
5K Views
kuna wakati unakuwa na game na zuri unataka kucheza lakini linakuwa halisuport pad za game hivyo inabidi utumie keyboard kulicheza, wengine keyboard na mouse zinawasumbua mpaka wawe na pad ndio...
3 Reactions
12 Replies
17K Views
naomba msaada nimedownlad bluestack lakin kila nikiinstall inasema local disc c haina space je? nitumia njia gani wakuu ama kama kuna njia nyingine ya kutumia whatsapp kupitia pc
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka nibadili smartphone budget yangu 500,000 huawei GR5 Inafaa kwa fast Internet, multitasking na games?
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Verizon announced on Monday morning it will buy Yahoo for $4.83 billion in cash. It is the end of a closely scrutinized, six-month sale process. Yahoo first put itself up for sale in February and...
1 Reactions
1 Replies
884 Views
Habari wana teknolojia jamani naombeni msaada nimedownload adobe photoshop CS6 kuna licence key imekuja nimejaribu kuiweka nimeambiwa inatumika....so namna gani wadau naweza pata free licence key...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Line ya halotel haisomi Kwenye simu, ila voda na tigo zinasoma. Na Kuna baadhibya maeneo sim card inafail kusoma kisha simu kuji-restat yenyewe ndo isome. Hapo tatizo ni nini? (simu ipo rooted na...
0 Reactions
1 Replies
597 Views
Back
Top Bottom