MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,703
- 21,833
Oiiiiiiii wadau kuna hii kitu inaitwa Pokemon Go naona kila mtu anaiongelea ,nmejaribu kuitafuta app store naona vinakuja vitu vya ajabu ajabu,kama kuna mtu ameishaijaribu basi anipe procedure jinsi ya kuipata na je hivi hii inachezeka bongo kweli?