KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,896
- 40,097
Hivi karibuni nilikumbana na hali isiyo ya kawaida kwenye ap ya JF iliyopelekea kuifuta.....lakini tangu baada ya kuifuta nimekuwa siipati tena kwenye jukwaa la apple.....sasa hivi naitumia jf kupitia browser....kitu ambacho mimi kinaninyima raha.....
Naombeni msaada wenu ndugu zangu....