Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau Nina smartphone ya itel inapandisha mtandao inapojisikia yenyewe naombeni msaada wenu nifanyaje?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ninahitaji msaada kwa anayefanya biashara ya Used computers naomba uniambie kama unahusika nazo Jumla au rejareja. nitakucheki inbox. au kwa email: ymollel@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo. Ninataka kununua laptop kwa ajili ya shughuli zangu za kimasomo ikiwa pia ni pamoja na kutunza documents zangu muhimu. Je, laptop ipi inanifaa? Aina ya Laptop: HP...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaam jf. Ninatatizo katika kioo cha dell 18inch, baada ya kununua external tv box (kifaa kidogo kama deki chenye kazi ya kuonyesha video ktk monitor ya pc) sasa katika kioo kinaleta analog input...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tablet imepata tatizo hivi karibu kila nikifungua App ya YouTube tablet ina jizima na kujiwasha. Hili tatizo limeendelea siku 3 ghafla Jana nimefungua YOUTUBE ikasumbua na kujizima lakini kitu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
I have an android tablet jelly bean, I bought it 2 months ago and it was working fine until recently when it started acting weird as it keep turning off itself and showing inconsistent battery...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
The website KAT was shut down but now it is slowly coming back to life. The admins of KAT and also thousands of its members have regrouped to resurrect their community by launching thekatcr.co...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Nina flash ambayo nilikuwa natunza document zangu nyingi na za muhimu. Ilikuwa na audio chache. Siku moja nilikuwa naplya kwenye DVD ikastop ghafla nahisi ilipata virus. Nikiifungua kwenye computa...
0 Reactions
2 Replies
688 Views
KUNA WATU WALIKUA WANAPATA SHIDA SANA JINI YA KUDOWNLOAD SERIES ZA KOREA NA MOVIE ZA JAPAN.CHINA NA KOREA BASI WAKUU WANGU BAADA YAKUPITA SEHEMU MBALI MBALI NAKUTFAUTA HUKU NA KULE NIKAPATA HII...
2 Reactions
17 Replies
9K Views
Heshima kwenu wakuu, kuna taarifa kwanza kampuni ya mawasiliano ya Tigo Tanzania imeingia mkataba na Jamii Forums ili kuwawezesha watumiaji kuingia Jf bila makato ya ada kwa mteja wa Tigo. Naomba...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimejaribu kutumia Bluestacks kwenye PC kwaajili ya whatsapp lakini software hii mara nyingi anasababisha PC kuwa nzito na mara nyingine niki-start bluestacks imekuwa na tabia ya kuzima PC. Hivyo...
2 Reactions
64 Replies
6K Views
katika pita pita zangu leo kuna sehemu nlikua nacheza PES game akaja jamaa nkaona kaingiza line kwenye laptop yake nikabaki na mshangao. ni kweli usilolijua ni kama usiku wa giza.
1 Reactions
38 Replies
6K Views
People buy Tesla cars because they're beautiful, safe, environmentally-friendly, and high-tech. And when it comes to all the high-tech packed into Tesla's cars, it doesn't get much better...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Ndugu zangu.. Mie ninalapto nimekuwa natumia modems za voda na airtel hapa mjini Mrogoro. Airtel ilikuwa vizuri sana wiki chache zimepita, lakini sasa hivi hata connect inakataa. Tatizo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
While China's Xiaomi is best known for its budget-friendly phones, the company has recently branched out into all sorts of other tech products. From action cameras to smart weighing scales to...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
JINSI YA KU UPDATE ANDROID KITKAT KWENDA LOLLIPOP No Computer needed….. Utangulizi: Bado Teknologia inakua kila sekunde.. Yapo Maboresho kila Nyanja hasa katika Mawasiliano kwa ujumla. Kompyuta...
4 Reactions
30 Replies
7K Views
WhatsApp wont work on old Nokia, BlackBerry, Android smartphones and iPhone 3GS If you still own a Nokia ExpressMusic or iPhone 3GS, you wont be chatting on WhatsApp by this year end. WhatsApp...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Naitaji kupata joining instractions ya hiki chuo mkupitia mtandaoni naombeni mnielekeze
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Wapi naweza hii betri ya laptop Wapi naweza hii betri ya laptop
0 Reactions
2 Replies
857 Views
Natumia galaxy note 3 yenye option ya LTE lakin 4g network haipandi licha ya kuswap line yenye uwezo wa 4g..naomba msaada namna ya kuiwezesha.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom