Wakuu heshima iwe kwenu natumai mmeshinda salama naombeni msaada kwa wazoefu wa mambo haya ya umeme.Kati ya hizi Main Switch ipi ni nzuri zaidi ya nyingine na bora kwa matumizi ya nyumbani TRONIC...
Habari za muda
Simu aina ya samsung iko kama imevujia wino kwenye screen
Sasa kuna watu wananiambia kuwa nibadilishe kioo
pia wapo ambao wanasema Kariakoo kuna mafundi wanasafisha bila kubafili...
Simu yangu ina tatizo la kusoma line nikiweka line katika simu inasoma, ila minara haisomi inaandika EMERGENCY CALL - Airtel na baada ya muda inasoma alafu tatizo linarudi sijajua ni kwanini...
Wataalam naomba kujuzwa nyumba ninayokaa ina madirisha ya zamani ya chuma kama yale ambayo watumia zaidi kule Moshi/Arusha. Kuna baadhi ya vioo vimetoka/pasuka sasa tunahangaika kubadirisha...
Nikifungua Web page kwenye simu yangu inaniletea page zifuatazo
http ://www.maxonclick.com/a/
www.gocloudly.com/rd.html
Str.aigames.mobi
Then inaleta ujumbe kuwa your Android is demaged by...
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka...
Habari waungwana,
Naombeni msaada, nashindwa ku'access Google Play Store kwenye simu yangu ya Android ...naletewa ujumbe huo hapo juu (REEDEM YOUR CODE).
Natanguliza shukrani zangu.
Habari zenu wapendwa. Naombeni kujuzwa utofauti uliopo kwenye hizi simu za huwawei yaan kwa mfn tofauti kati ya HUAWEI P9, HUWAWEI MATE8 na Huwawei G8 (kwa ujumla utofauti kati ya simu za huawei...
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock...
Habari wakubwa.
Hivi kununua vitu online kama eBay au Amazon market ambamo kuna sehemu najaza info zangu za bank, ni safe kweli ktk pesa zangu za bank? Sometimes nahisi kama wajomba wanaweza kua...
Huna haja ya kufika ofisini huko huko ulipo tunatoa lock na kuweza kuitumia kwa laini yeyote uipendayo. Pia tunatoa network lock samsung huko huko ulipo na malipo utafanya baada ya kujirisha na...
Jaman naomba mtu anaye weza kunisaidia jinsi wanavyotengeneza App za simu...hasa social application...ikakaa kwenye android app watu wakaidownload ...mfano...millardayo app..mtembez nk
Naomba...
Home
Technology
Tricks & Guides
Tech Facts
Hacking
Programming
Gaming
Researches
Inventions
Home Popular 10 Reasons : Why should we use Linux?
10 REASONS : WHY SHOULD WE USE LINUX?
By Vicky...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.