Hawa jamaa useless sana sasa hivi wamezipa kisogo boom j8, camon c5,c8,c7,c9 bila kusahau phantom 5 hii ndio kabisa haijawahi kujua nn maana ya update, sasa wapo mbioni kuzindua phantom 6 na 6 plus.
Swali fikirishi lini wataikumbuka boom j7 yenye KitKat while we are talking about nougat.
Hawa jamaa bado mchezo wao ni ule ule ili kupata latest version kwenye simu yako ni kununua simu nyingine.