Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wakuu habari . Kama kichwa kisemavyo, nina shida ya kutaka kuifanya account yangu ya Youtube kuendelea kuchuma mapato tena kwani awali walinifungia kwa siku 90 na kunitaka nifute video zote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada jaman,mi navoonekana ni mtoto wa mjini muda mrefu na nalijua hilo Ushamba wangu Sijui kutumia au kuchat Snapchat[emoji28][emoji28][emoji28] Naweza kuitumia kujichukua video na picha tu lkn...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nimerudi naomba msaada. Mi nilibadili font ya simu kwa kutumia app ya IFont, sasa Hii font nimechoka nataka kubadili tena, cha ajabu hats app yenyewe ya I font imepotea, nimeingia play store...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu nisaidien huawei y6 pro yangu nashindwa kuhamisha documents toka phone memory kwenda kwenye pc kwa kutumia usb cable. Nimejaribu hata bluetooth imekwama japo simu na pc zimepair. Nifanye nini
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kuna app nyingi za ku-unfollow watu ambao hawakufollow ig. mfano ni crowdfire na instafollowers. lakin hizi app zimeanza kuzingua, kwa wale mnaotumia hiz app mmeshaelewa nachomaanisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu wapendwa wa humu JF? Jamani leo nimekuja na wazo ,nahitaji kufungua blog ila sijui wapi kwa kuanzia ,naombeni michango yenu tafadhari Karibuni ****hance...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Kuna mtu alinishauri niapdate sim yangu, lakini nilipoiapdate imepoteza ufanisi hata ktk picha inapiga low quality, nifanyeje maana nimeapdate version imefikia 4.4.2 Msaada tafadhali
0 Reactions
13 Replies
1K Views
3
1 Reactions
6 Replies
878 Views
Hello, Naomba kujua gharama za kutengeneza mobile application ,kuna application nataka itenegnezwe ni ya maswala ya kilimo sasa natafuta wanao tengeneza hizo applications za mobile hasa hizi android.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
PesaApp ni app ya simu ambayo itahusika kusaidia ubadilishaji wa aina za fedha online kupitia simu ya mkononi nchini Tanzania na A.M kwa ujumla. Wazo hili limeingia katika shndano la EQUITY...
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote Naomba mwenye uelewa wa application ninayoweza kuweka katika simu yangu iniwezeshe wakati nimepigiwa simu inaita niwe na uwezo wa kuendelea na nilichokuwa...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Mimi kuna baadhi ya Mobile Apps ambazo zimetengenezwa na wabongo na nimezikubali, zimekuwa useful kwangu. Kupitia huu Uzi naomba tuziorodheshe mob apps zote bora zilizotengenezwa nyumbani ili...
3 Reactions
34 Replies
9K Views
Habari, Nimejitokeza hapa ili nipate ufafanuzi kuhusu jar protected files. Kuna program ina content ambazo nahitaji kuzi copy kwa ajili ya matumizi binafsi lakini nimegundua kwamba iko protected...
1 Reactions
4 Replies
953 Views
Jamanii we naamini JF apa wamejaa wataalam wa mambo mbali mbali yakiwemo Hays ya sim Nikwamba sim yangu imekua ikinisumbua kuna baadhi ya apps has a za porno ([emoji777] ) zimekuwa ziki...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wataalamu habari! mie nina shida la kudownload application ya whatsapp na facebook, kila nikijaribu kudownload nafankiwa kabisa ila pale ninapotakiwa kuweka namba ya simu ,basi inakuja alert ya...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu??nimekuja kwenu kuomba msaada,pc yangu kwa sasa ni mzito sana katika internet,inachukua muda mrefu kufungua page,ina RAM ya 2GB,processor ni 1GHz AMD,natumia google chrome na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Fungua link ya equity bank ya mambo safi kutazama wazo langu la ubunifu na kunipigia kura. Cha kufanya ingia http://tz.equitybankgroup.com/mambosafi/ then juu kuna menu ambapo kuna mimi ni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba msaada wa kutoa network lock ya hii simu ya smartkicka nimemchukulia wife naona kiko locked kutumia voda imei ni 357773065476955 Msaada wa code wakuu
0 Reactions
5 Replies
904 Views
Niende moja kwa moja kwenye swali,je mafile yaliyofanyiwa back up ukiya delet kwenye memori vitu vitafutika? Msaada kwa hilo tafadhali
0 Reactions
3 Replies
638 Views
Habari wakuu, nina kaswali kananitatiza na huwa sielewi Kwenye hii picha, hilo box lilozungushiwa wino wa kijani huwa lina maana gan kwenye opera min, nimejaribu kuingia mara nying huwa naona simu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom