Yamenikuta baada ya kubadili font kwenye simu

Yamenikuta baada ya kubadili font kwenye simu

ISLETS

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
8,118
Reaction score
5,369
Wakuu nimerudi naomba msaada.
Mi nilibadili font ya simu kwa kutumia app ya IFont, sasa Hii font nimechoka nataka kubadili tena, cha ajabu hats app yenyewe ya I font imepotea, nimeingia play store ili nii install tena imegoma( inaandika can't install) kwenye settings za simu pia nimekosa kabisa sehemu ya kubadili font,.
Ni muda mrefu sasa na simu iiko rooted, je nifanyeje wakuu??
 
Hebu jaribu ku clear cache, na u free same memory pengine simu haina nafasi. Na sio lazima ifont jaribu Hifont pia.
Au kama play store inazingua tumia hata google.
 
Hebu jaribu ku clear cache, na u free same memory pengine simu haina nafasi. Na sio lazima ifont jaribu Hifont pia.
Au kama play store inazingua tumia hata google.
nikiingia playstore ku download inskubali but muda inajiinstall ndio inagoma na kuleta ujumbe ime fail ki install,
ishu ni kwamba tayari nilibadili fonts kwa kutumia ifonts but now nataka kurudisha font ya kawaida ya simu.
 
pengine ipo ila huioni, ukienda setting then application then downloaded apps huikuti?
 
nikiingia playstore ku download inskubali but muda inajiinstall ndio inagoma na kuleta ujumbe ime fail ki install,
ishu ni kwamba tayari nilibadili fonts kwa kutumia ifonts but now nataka kurudisha font ya kawaida ya simu.


mkuu hebu muandikie vizur tena huenda hajaambulia kitu hapo
 
mkuu hebu muandikie vizur tena huenda hajaambulia kitu hapo
ni hivi, nilidownload app ya ifont nikaitumia hiyo kubadili font kwenye simu.
sasa app hiyo imepotea ghafla, siioni na nikijaribu kuidownload upya inakubali but muda wa kuinstall ndio inagoma..
sasa nataka kurudisha font ya kawaida ya simu, nimeshindwa..
 
ni hivi, nilidownload app ya ifont nikaitumia hiyo kubadili font kwenye simu.
sasa app hiyo imepotea ghafla, siioni na nikijaribu kuidownload upya inakubali but muda wa kuinstall ndio inagoma..
sasa nataka kurudisha font ya kawaida ya simu, nimeshindwa..


angalia simu yako kama ina free memory ili uweze kuidownload vizur
 
nimefanikiwa wakuu.. asanteni pia kwa kujali.

ilinibidi ku restore simu upya then ndio nikaweza ku install hiyo app na kwa kutumia hiyo app nika restore font.
nimekoma sirudii tena kubadili.
 
nimefanikiwa wakuu.. asanteni pia kwa kujali.

ilinibidi ku restore simu upya then ndio nikaweza ku install hiyo app na kwa kutumia hiyo app nika restore font.
nimekoma sirudii tena kubadili.
nimefanikiwa wakuu.. asanteni pia kwa kujali.

ilinibidi ku restore simu upya then ndio nikaweza ku install hiyo app na kwa kutumia hiyo app nika restore font.
nimekoma sirudii tena kubadili.
nimefanikiwa wakuu.. asanteni pia kwa kujali.

ilinibidi ku restore simu upya then ndio nikaweza ku install hiyo app na kwa kutumia hiyo app nika restore font.
nimekoma sirudii tena kubadili.

mkuu ebu elekeza umefanyaje ? na mimi nina shida hiyo
 
nimefanikiwa wakuu.. asanteni pia kwa kujali.

ilinibidi ku restore simu upya then ndio nikaweza ku install hiyo app na kwa kutumia hiyo app nika restore font.
nimekoma sirudii tena kubadili.
Hii ndio solution ambayo ni
nilitaka kukushauri kufanya maana tatizo la play store kushindwa ku install app husababishwa na mambo mengi, ndio maana nilitangulia kusema kwanza clear caches na uangalie kama simu ina free space. Ndio ifuate ku restore simu ianze upya then ndio u dawnload app kutoka play store.
NB. But hiyo simu still ipo kwenye root mkuu.
 
Hii ndio solution ambayo ni
nilitaka kukushauri kufanya maana tatizo la play store kushindwa ku install app husababishwa na mambo mengi, ndio maana nilitangulia kusema kwanza clear caches na uangalie kama simu ina free space. Ndio ifuate ku restore simu ianze upya then ndio u dawnload app kutoka play store.
NB. But hiyo simu still ipo kwenye root mkuu.
shukrani mkuu, ya niliiiroot kwa ajili ya ishu nyingine mbali na fonts,
 
mkuu ebu elekeza umefanyaje ? na mimi nina shida hiyo
mkuu nili restore simu. Kwanza kabisa nilifanya backup ya data na mafaili kwenye simu. Baada ya hapo niliizima simu, kisha nikaiwasha kwa kubonyeza voice up button na power button kwa pamoja, menu inayokuja nikatumia voice down button kushuka chini mpaka kwenye option ya ku clear cache, wipe data & restore phone (Hapo inategemea na simu yako hivyo ufuate maelekezo ya simu yako).
baada ya process hiyo kuisha niliizima simu na kuiwasha tena kwa njia ya kawaida ya kubonyeza power button. nikaenda sehemu ya backup ili kurestore mafaili na data zangu.
Baada ya hapo nikafungua ena play store na kudownload app ya ifont na kuinstall, nikafungua hiyo app na kwenda kwenye option imeandikwa "My" humo ndio nilipata option ya kurestore original font (sikumbuki kila step)..
NB: kama unamashaka juu ya kurestore simu, kuna nyuzi nyingi humu jf zinaeleza hii kitu jaribu kusearch uzipitie ili usije ukakosea
 
Back
Top Bottom