Nahitaji kununua tablet yenye sifa hizi nicheck kama unayo
Brands ni Samsung/LG/Lenovo/HTC
Android version ni kuanzia 4.4.4
(Kitkat)
RAM at least 1. 5GB
Internal at least 16 GB
Size at least...
Wapi naweza kupata hii simu.Naona inakuja na Android ver6 ambayo ina features nyingi nzuri.Nimejaribu kutafuta kwenye maduka ya online bado haipatakani.Vipi kuna ambaye ameshatumia android ver6...
KUHUSU 3D
Picha kwenye screen ya kawaida inaonekana flat, kwa vipimo viwili "2 dimensions", "2d". Picha ya 3d, mbali ya kuonekana kuwa na upana na urefu, inaonekana pia kuwa na kina, na ndio...
Jamani wadau, hivi hizi simu ya iTEL android zina Ubora kama tecno au ni mbovu. kama kuna aliyewahi kutumia au anayezitumia anijuze tafadhali kama ziko powa au ni model gani ya itel iko powa na ni...
Habarini wanajukwaa, Nina simu. aina ya saSamsung galaxy core prime g360p, hii simu ina support network za LTE na CDMA tu na sidhani kama ina GSM, je nitawezaje kuitumia hii simu kwa mitandao yetu...
Wakuu msaada wenu tafadhali naomba mnasaidie kuwa laptop ya Mac Book Pro ya apple inaflashiwa kama laptop zingine, na kama ndiyo kuna madhara yoyote yaweza kutokea?...... Na kama haiflashiwi kwa...
Naomba msaada . Leo wakati niko nyumbani nikachukua laptop nikawasha kawaida baadae mama watoto akaniletea bwana Mdogo nimsikie gafra dogo kapiga keyboard kwa kiganja soon desktop ikawa upside...
Habari za j2 wakuu, simu tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la kuji restart yenyewe mara kwa mara, sasa naomba msaada kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza tatua hilo tatizo. Asanteni
Wadau kwema, mimi natumia sim ya mfumo wa android Lollipop anayeweza kujua jinsi ya kudownload game ya mpira wa miguu ya sim ya FTS17, ambayo ni update ya game FTS15, nimejaribu kupitia Playstore...
Wadau wa jukwaa hili leo naweza kukiri mbele yenu kuwa nimekuwa nikihamahama katika matumizi ya simu kutokana na kufifia kwa Simu za Blackberry katika soko la simu hivyo nikawa sina uhakika na...
Habarini ndugu jamaa na marafiki. Mimi nimeamua kuachana kabisa na XXX. Lakini kuna zingine huja bila kukusudia kwamfano ktk mitandao ya kijamii. Hivyo naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kublock...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.