Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nahitaji kununua tablet yenye sifa hizi nicheck kama unayo Brands ni Samsung/LG/Lenovo/HTC Android version ni kuanzia 4.4.4 (Kitkat) RAM at least 1. 5GB Internal at least 16 GB Size at least...
0 Reactions
8 Replies
815 Views
Iko poa sana haijawahi kufunguliwa wala kubadilishwa chochotez 16GB nipo dsm.. Pm
0 Reactions
1 Replies
575 Views
cm yangu nokia lumia 525 imekataa kuupdate window 10 tatizo ni nn? maana nimefata hatua zote imeniletea hii meseji
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wandungu nauza samsung galaxy Note 4 ,16GB ,SIM slot na memory card slot available, Bei 350000/= ,kwa anaehtaji Tuwasliane
1 Reactions
3 Replies
789 Views
jinsi gani naweza kuongeza speed ya internet kwenye pc yangu.. kwa anayejua anisaidie
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapi naweza kupata hii simu.Naona inakuja na Android ver6 ambayo ina features nyingi nzuri.Nimejaribu kutafuta kwenye maduka ya online bado haipatakani.Vipi kuna ambaye ameshatumia android ver6...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KUHUSU 3D Picha kwenye screen ya kawaida inaonekana flat, kwa vipimo viwili "2 dimensions", "2d". Picha ya 3d, mbali ya kuonekana kuwa na upana na urefu, inaonekana pia kuwa na kina, na ndio...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Samahani, naweza kupata adapter ya HDMI to AV output kwa Mwanza??
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Telegram F.A.Q.
0 Reactions
1 Replies
907 Views
Jamani wadau, hivi hizi simu ya iTEL android zina Ubora kama tecno au ni mbovu. kama kuna aliyewahi kutumia au anayezitumia anijuze tafadhali kama ziko powa au ni model gani ya itel iko powa na ni...
0 Reactions
47 Replies
19K Views
jaman msaada nataka ku unroot tecno c8 naanzaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wanajukwaa, Nina simu. aina ya saSamsung galaxy core prime g360p, hii simu ina support network za LTE na CDMA tu na sidhani kama ina GSM, je nitawezaje kuitumia hii simu kwa mitandao yetu...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu msaada wenu tafadhali naomba mnasaidie kuwa laptop ya Mac Book Pro ya apple inaflashiwa kama laptop zingine, na kama ndiyo kuna madhara yoyote yaweza kutokea?...... Na kama haiflashiwi kwa...
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Naomba msaada . Leo wakati niko nyumbani nikachukua laptop nikawasha kawaida baadae mama watoto akaniletea bwana Mdogo nimsikie gafra dogo kapiga keyboard kwa kiganja soon desktop ikawa upside...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za j2 wakuu, simu tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la kuji restart yenyewe mara kwa mara, sasa naomba msaada kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza tatua hilo tatizo. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Wadau kwema, mimi natumia sim ya mfumo wa android Lollipop anayeweza kujua jinsi ya kudownload game ya mpira wa miguu ya sim ya FTS17, ambayo ni update ya game FTS15, nimejaribu kupitia Playstore...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu wa kaya naomba kuuliza anayefahanu simu za ZTE K3 anisaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili leo naweza kukiri mbele yenu kuwa nimekuwa nikihamahama katika matumizi ya simu kutokana na kufifia kwa Simu za Blackberry katika soko la simu hivyo nikawa sina uhakika na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Simu yangu haikubali kutuma SMS Niliponda SMS selting nikakuta simu kadi locked. Naomba anayejua Ku unlocked, mengine yoote yapo vizuri
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Habarini ndugu jamaa na marafiki. Mimi nimeamua kuachana kabisa na XXX. Lakini kuna zingine huja bila kukusudia kwamfano ktk mitandao ya kijamii. Hivyo naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kublock...
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Back
Top Bottom