Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello wadau,hivi ni app ama website ipi maalumu ambayo ni nzuri kwa kuweza ku transform picha halisi kwenda katuni.
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Nimejaribu kutafuta habari za wapi nitapata chuo cha Kati ambacho kinafundisha ku-repair,service na mambo mengine Kama hayo,ktk vifaa vya elekitoroniki Kama smart phones,mobile phone na tablets...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za majukumu wanajamii, wanajamvi nina mtu wangu wa karibu anatumia simu ya android Tecno y4, ina wiki sasa imegoma kuwaka kikamilifu yaani ukitoa betri kisha uiwashe inaganda kwenye maneno...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
baada ya kukaa muda sasa naona bora nilipia iwe waifungue simu yangu sasa jinsi ya kulipia izo ela ndio sifahamu msaada wadau na nikiasi gani naweza lipia
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Nawezaje kuroot tecno boom j8 Na zipi faida nikiiroot hii simu?? Naomba mnidadavulie wataalam wa IT
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wakuu kuna vitu vinanichanganya sana, naombeni ufafanuzi kidogo kabla sijaingia mkenge. Kuna receivers ambazo ni MPGE4 compatible na MPGE2 ambayo ndiyo mimi natumia(Mediacom 930+). Tatizo...
0 Reactions
89 Replies
17K Views
Habarini wanajamvi, nahitaji baadhi ya spare kama microphone ya Lumia 820 , USB port ya 820, charger connector ya Lumia 920, charger controller IC ya Lumia 820 kama Kuna mtu anafahamu Duka au...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Wana Forum naombeni msaada wenu. Nilipata kununua simu ya Nokia Lumia 900 online ughaibuni na miongoni mwa vitu ambavyo sikuwa nimeviangalia sana ni betri yake. Simu hii inatumia betri wanayoita...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
When i start black ops 2 an error is coming up and says Error during initialization: unhandled exception caught. please wana jamii naombeni solution. v
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau Habari za mida hii, Nina machine Canon ir2420, inanipa error ya Bios Mode waiting for update. Hiyo msg inatokea Mara baada ya kuiwasha. Please naombeni Msada wenu wakuu.
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Habari Ndugu, Natumia Samsung tablet kwa miaka 3 sasa. Inanipa changamoto, kila nikidownload document za Pdf na Word zinagoma kufunguka. Naombeni msaada kwa hilo.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa Yeyote Mwenye APK ya WhatsApp Plus Inayofanya Kazi. Material Design Naomba Anitumie .. Maan Nilikuwa Natumia Moja Juzi Naona Wameshaiblock nimeamia Kwenye Official ambayo siipendi Sanaaaa...
0 Reactions
173 Replies
31K Views
Habari ndgu wanajamvi, jamani msaada ndgu simu yangu galaxy note 4 SM-N910A inachemka sana nikiitumia yan inakua ya na joto kweli kama sufuria limewekwa kwenye moto. Nifanye nini wadau??? Msaada...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hiyo ndo speed nimepata Leo
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau habari za asubuhi!!! Samahani Naomba msaada wenu tafadhali Nina hiyo photocopy machine ila sina CD ya drivers za printing kwa Hiyo Naomba mwenye nazo anipe msaada tafadhali. Ahsante
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu kuna siku mbili sikupata channel ya Star TV nikajua ni tatizo dogo lakini sasa hata kwenye list haipo Natumia Star times..nifanyeje msaada jamani
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu heshima iwe kwenu natumai mmeshinda salama naombeni msaada kwa wazoefu wa mambo haya ya umeme.Kati ya hizi Main Switch ipi ni nzuri zaidi ya nyingine na bora kwa matumizi ya nyumbani TRONIC...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapi nitapa betri orijino ya LG G3 na ni bei gani?
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Habari za muda Simu aina ya samsung iko kama imevujia wino kwenye screen Sasa kuna watu wananiambia kuwa nibadilishe kioo pia wapo ambao wanasema Kariakoo kuna mafundi wanasafisha bila kubafili...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Simu yangu ina tatizo la kusoma line nikiweka line katika simu inasoma, ila minara haisomi inaandika EMERGENCY CALL - Airtel na baada ya muda inasoma alafu tatizo linarudi sijajua ni kwanini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom