wataalamu habari!
mie nina shida la kudownload application ya whatsapp na facebook, kila nikijaribu kudownload nafankiwa kabisa ila pale ninapotakiwa kuweka namba ya simu ,basi inakuja alert ya mtandao kuwa chini najaribu mara kibao ,check your internet connection,naamua ku ~uninstall ,yaan mchezo ni huo.
Lakn nkinstall apps nyinginezo znakubal.
Msaada tafadhal ,simu ni tecno w3. nina muda wa miezi miwili natumia simu híi.
mie nina shida la kudownload application ya whatsapp na facebook, kila nikijaribu kudownload nafankiwa kabisa ila pale ninapotakiwa kuweka namba ya simu ,basi inakuja alert ya mtandao kuwa chini najaribu mara kibao ,check your internet connection,naamua ku ~uninstall ,yaan mchezo ni huo.
Lakn nkinstall apps nyinginezo znakubal.
Msaada tafadhal ,simu ni tecno w3. nina muda wa miezi miwili natumia simu híi.