Simu za Xiaomi MIUI yao ina hyo feature bila application yoyote,mimi natumia Xiaomi Redmi note 3 pro ipo hvyo.duh,hiyo app kama ipo kweli nitaamini science ni balaaaaaaaaa
Simu za Xiaomi MIUI yao ina hyo feature bila application yoyote,mimi natumia Xiaomi Redmi note 3 pro ipo hvyo.
Ndyo hvyo Mkuu.. yangu hata kama nipo YouTube na watch videos ghafla mtu akapiga still video inaendelea ku play at the same time simu inaita it means kunatokea ki Window kdogo sana kwa juu ili upokee au u cancel call na hata uspokee au ku cancel haina shida inaendelea ku play tuyaani kabla hujapokea uendelee kufanya ulichokuwa unafanya,sasa hyo app itadetect vp kwamba ulikuwa unafanya hicho kitu,hapo ndipo naposhangaa
Ndyo hvyo Mkuu.. yangu hata kama nipo YouTube na watch videos ghafla mtu akapiga still video inaendelea ku play at the same time simu inaita it means kunatokea ki Window kdogo sana kwa juu ili upokee au u cancel call na hata uspokee au ku cancel haina shida inaendelea ku play tu
Simu za Xiaomi MIUI yao ina hyo feature bila application yoyote,mimi natumia Xiaomi Redmi note 3 pro ipo hvyo.
Na mm ivyoivyo kwenye samsung s5Mimi huwa naipata kwa my samsung s ya juu inatokea popup kwa juu naangalia tu na kuendelea na yangu hadi inakata. Ila nikiwa sijafungua chochote ndio inatokea full screen.
tushajua una s5Na mm ivyoivyo kwenye samsung s5
Kweli asee hata mimi natumia nokia ya tochi hii app ipo!!Na mm ivyoivyo kwenye samsung s5
Huo ni wivu sasa!!tushajua una s5
hahahahahHuo ni wivu sasa!!