Msaada wa kuanzisha online radio

Msaada wa kuanzisha online radio

dtj

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
1,335
Reaction score
1,390
Salaams,

Kama kichwa kinavyo jieleza, natamani kuanzisha online radio hapa bongo. Naomna kwa mwenye kujua

1. Vifaa
2. Uendeshaji
3.Faida
4. Hasara za kuwa na Online radio
5. Usikivu na upatikanaji wa frequency ukoje ?
6. Gharama kwa ujumla.

Kama unaweza kuongeza kitu pia itafaa Sana.
Natanguliza shukrani kwenu.
 
Back
Top Bottom