Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Juzi wakati naendelea na utundu utundu wa simu nkajikuta naweka rom ya h6 kwenye TECNO p5....... Ikafanikiwa kuflash lakini tangia hapo inawaka lakin hata Maneno mf TECNO hailet...
0 Reactions
6 Replies
812 Views
Wanabodi, naomba mwenye keys za end note version yeyote au crack yake. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Salaam JF. Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu naombeni key za GTA v...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Kwa wanao fahamu frequency wanazotumia startimes kurusha matangazo yao mkoani Mbeya naomba kuzijua. Hizi ni baadhi nilizofanikiwa kuzipata DVB-T Agape(ting) 530Mhz bandwidth 8mhz Agape(ting)...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wadau nina cm aina tajwa hapo juu napenda kuifanyia rooting nimejaribu kingroot imegoma je zaidi ya hapo nitumie app gani nzuri? Karibuni wataalamu.
0 Reactions
3 Replies
644 Views
Jamani nashida moja ni mtumia mzuri wa internet ila kuna baadhi ya watu wanatumia kwa faida ila me kama mb zangu zinaenda bure kama nilivyosema hapo juuu how to make money with Facebook page...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Snapchat/youtube Good morning. Here is everything you need to know in the world of advertising today. 1. Snapchat is now called Snap Inc. The company has rebranded because it is more than...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Naomba msaada wenu wa mawazo. Ninayo water pump zile zinazoingizwa ndani ya kisima cha maji. Sasa tatizo lililopo motor yake inazunguka ila maji haipandishi inapandisha kidogo halafu inagoma ila...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai. Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia...
1 Reactions
3 Replies
955 Views
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500... Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Closed
Njia gani rahisi ya ku hack FB account, msaada jamani.
0 Reactions
21 Replies
22K Views
wadau naomba msaada kwa anayejua bei ya betri mpya ya laptop aina ya dell... Betri yangu imekufa na nahitaji kununua nyingine ... Ansanten.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Learn more http://www.dmxzone.com/go/22300/dmxzone-security-provider-php/
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Habari zenu bandugu. Mwenye utaalamu wa ku-upgrade simu yenye uwezo wa 3G kwenda 4G anisaidie.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
.
1 Reactions
15 Replies
6K Views
za jumapili nyote. naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua changamoto hii. nimeinstall bluestack na baada ya hapo nikainstall application tofauti na mojawapo ni tubemate. sasa...
0 Reactions
2 Replies
771 Views
Salaams, Kama kichwa kinavyo jieleza, natamani kuanzisha online radio hapa bongo. Naomna kwa mwenye kujua 1. Vifaa 2. Uendeshaji 3.Faida 4. Hasara za kuwa na Online radio 5. Usikivu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu habari . Kama kichwa kisemavyo, nina shida ya kutaka kuifanya account yangu ya Youtube kuendelea kuchuma mapato tena kwani awali walinifungia kwa siku 90 na kunitaka nifute video zote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada jaman,mi navoonekana ni mtoto wa mjini muda mrefu na nalijua hilo Ushamba wangu Sijui kutumia au kuchat Snapchat[emoji28][emoji28][emoji28] Naweza kuitumia kujichukua video na picha tu lkn...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom