Juzi wakati naendelea na utundu utundu wa simu nkajikuta naweka rom ya h6 kwenye TECNO p5....... Ikafanikiwa kuflash lakini tangia hapo inawaka lakin hata Maneno mf TECNO hailet...
Salaam JF.
Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule...
Kwa wanao fahamu frequency wanazotumia startimes kurusha matangazo yao mkoani Mbeya naomba kuzijua.
Hizi ni baadhi nilizofanikiwa kuzipata
DVB-T
Agape(ting) 530Mhz bandwidth 8mhz
Agape(ting)...
Jamani nashida moja ni mtumia mzuri wa internet ila kuna baadhi ya watu wanatumia kwa faida ila me kama mb zangu zinaenda bure kama nilivyosema hapo juuu how to make money with Facebook page...
Snapchat/youtube
Good morning. Here is everything you need to know in the world of advertising today.
1. Snapchat is now called Snap Inc. The company has rebranded because it is more than...
Naomba msaada wenu wa mawazo.
Ninayo water pump zile zinazoingizwa ndani ya kisima cha maji.
Sasa tatizo lililopo motor yake inazunguka ila maji haipandishi inapandisha kidogo halafu inagoma ila...
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai.
Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia...
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500...
Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the...
za jumapili nyote. naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua changamoto hii.
nimeinstall bluestack na baada ya hapo nikainstall application tofauti na mojawapo ni tubemate. sasa...
Salaams,
Kama kichwa kinavyo jieleza, natamani kuanzisha online radio hapa bongo. Naomna kwa mwenye kujua
1. Vifaa
2. Uendeshaji
3.Faida
4. Hasara za kuwa na Online radio
5. Usikivu na...
wakuu habari .
Kama kichwa kisemavyo, nina shida ya kutaka kuifanya account yangu ya Youtube kuendelea kuchuma mapato tena kwani awali walinifungia kwa siku 90 na kunitaka nifute video zote...
Msaada jaman,mi navoonekana ni mtoto wa mjini muda mrefu na nalijua hilo
Ushamba wangu Sijui kutumia au kuchat Snapchat[emoji28][emoji28][emoji28]
Naweza kuitumia kujichukua video na picha tu lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.