Nimechoka kila siku kuingia gharama sababu ya wizo wa halotel, nikijiunga na kifurushi na MB 600 nikifungua youtube au kudownload na magropu machache ya whatsapp kifurushi kinaisha.
Sasa najiuliza...
Habari wakuu simu yangu imegoma kuxoma card leader na flash kwa kutumia otg cable,kabla ya kugoma hapo mwanzo ilikuwa inasoma bila shida tatizo linaweza kuwa nini
wadau
habarini za jioni wandugu naombeini msaada wenu
Natumia laptop aina ya HP pavilion core i5 2.4GHZ processor intel HD graphic tatitzo la mashine yangu siku hizi inapata sana moto wadau...
Habari za muda huu! Jamani ninahitaji msaada wenu ili niweze kuondoa hii kero niliyonayo kwenye hii music player (boom player) kila nikiplay audio inaselect picha yeyote automatic kutoka kwenye...
Wana jamvi, mtu yeyote anayefaham application nzur ya kuzuia cm zisiingie naomba anijuze, nimejaribu call blacklist zote imeshindikana, nikaweka cm security nayo imeshindikana ivyo yeyote mwenye...
Wadau kwenye jukwaa hili natafuta component tajwa. Ni kwa ajili ya drain pump ya Indesit wixl 143s washing machine. Nipo Arusha mjini, nimetafuta kwenye maduka ya electronics bila mafanikio.
Wataalamu wa soka kwa kutumia Simu za android IPI ni app nzuri ambayo haigandigandi kati ya hizo nilizoziwakilisha kwenu yaani,mobikora,mobdro na kodi au kama kuna nyingine zaidi ya hizo.
Ukiangalia smartphone ina vitu vingi sana ambavyo wengi wetu hawavitumii au hawajui. Wataalamu wa smartphone au techonojia ya simu mje mtiririke hapa kwa unachokijua.
Inakuje baadhi contact...
Kampuni moja ya Israel inayowasaidia polisi kudukua simu za washukiwa wa uhalifu nchini Israel Cellebrite, imesema kuwa inaweza kudukua simu yoyote aina ya smartphone.
Kampuni hiyo iligonga...
Simu yangu aina ya Samsung s4 imepoteza mtandao wiki ya pili sasa, japo bar za mtandao zipo full ila inagoma kuregister mtandao. Wakt nanunua waliiunlock hivyo nahs imei zake zilibadilika hapo...
Smile unlimited naona imeniangusha sana mwezi uliopita ile ya 70,000 kuna wakati hata page kufunguka ilikuwa shida.
Nataja nijaribu Smart, ya 70,000 kwa mwezi kuna mtu anaitumia sasa hivi? na ile...
Habari
Naombeni MSAADA nahitaji custom domain kwa ajiri ya blog yangu ila tatizo sina visa card VIP kuna njia yoyote naweza ipata passipo kuwa na visa card
Hbari wadau nina Nokia lumia 830.Kioo kinarespond vizuri ishu i zile button tatu za chini yaani search, home na return hazirespond.Nimeifungua na kuweka weka ikanda bado hazirespod.Nimepeleka kwa...
MABADILIKO kwenye mtandao maarufu wa simu, WhatsApp, yataanza rasmi leo wakati kipindi cha siku 30 cha kukubali masharti mapya kitakapomalizika.
Mabadiliko hayo yanawataka watumiaji kusambaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.