Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimechoka kila siku kuingia gharama sababu ya wizo wa halotel, nikijiunga na kifurushi na MB 600 nikifungua youtube au kudownload na magropu machache ya whatsapp kifurushi kinaisha. Sasa najiuliza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wakuu simu yangu imegoma kuxoma card leader na flash kwa kutumia otg cable,kabla ya kugoma hapo mwanzo ilikuwa inasoma bila shida tatizo linaweza kuwa nini
1 Reactions
1 Replies
641 Views
wadau habarini za jioni wandugu naombeini msaada wenu Natumia laptop aina ya HP pavilion core i5 2.4GHZ processor intel HD graphic tatitzo la mashine yangu siku hizi inapata sana moto wadau...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
PC yangu imezima ghafla wakati nikiwa naitumia. Tokea hapo imegoma kuwaka, ila mara moja moja inathubutu kuwaka kwenye safe mode tu.
0 Reactions
5 Replies
743 Views
Habari za muda huu! Jamani ninahitaji msaada wenu ili niweze kuondoa hii kero niliyonayo kwenye hii music player (boom player) kila nikiplay audio inaselect picha yeyote automatic kutoka kwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jamvi, mtu yeyote anayefaham application nzur ya kuzuia cm zisiingie naomba anijuze, nimejaribu call blacklist zote imeshindikana, nikaweka cm security nayo imeshindikana ivyo yeyote mwenye...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Nahitaji Mwenye Hicho Kioo Cha Samsung TV 32" model IPO hapo kwenye pic Contact 0767-929289
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kwenye jukwaa hili natafuta component tajwa. Ni kwa ajili ya drain pump ya Indesit wixl 143s washing machine. Nipo Arusha mjini, nimetafuta kwenye maduka ya electronics bila mafanikio.
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Wataalamu wa soka kwa kutumia Simu za android IPI ni app nzuri ambayo haigandigandi kati ya hizo nilizoziwakilisha kwenu yaani,mobikora,mobdro na kodi au kama kuna nyingine zaidi ya hizo.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukiangalia smartphone ina vitu vingi sana ambavyo wengi wetu hawavitumii au hawajui. Wataalamu wa smartphone au techonojia ya simu mje mtiririke hapa kwa unachokijua. Inakuje baadhi contact...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu msaada kwa mwenye ujuzi kuhusu huo uzi hapo..juuu.na wapi naweza jifunza online..
1 Reactions
4 Replies
944 Views
Wakuu salam, Niende moja kwa moja kwenye mada, Hivi nawezaje kupata kitabu toka Amazon bila kukinunua ?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba mnijuze,ni TV ipi bora kati ya Sony na Samsung?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni moja ya Israel inayowasaidia polisi kudukua simu za washukiwa wa uhalifu nchini Israel Cellebrite, imesema kuwa inaweza kudukua simu yoyote aina ya smartphone. Kampuni hiyo iligonga...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Simu yangu aina ya Samsung s4 imepoteza mtandao wiki ya pili sasa, japo bar za mtandao zipo full ila inagoma kuregister mtandao. Wakt nanunua waliiunlock hivyo nahs imei zake zilibadilika hapo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Smile unlimited naona imeniangusha sana mwezi uliopita ile ya 70,000 kuna wakati hata page kufunguka ilikuwa shida. Nataja nijaribu Smart, ya 70,000 kwa mwezi kuna mtu anaitumia sasa hivi? na ile...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi Azam tv haina blind scan? Maana nimesakua lakini cjaona Naomba msaada kwa yeyote anayejua masuala ya king,amzi cha Azam Asante.
0 Reactions
3 Replies
751 Views
Habari Naombeni MSAADA nahitaji custom domain kwa ajiri ya blog yangu ila tatizo sina visa card VIP kuna njia yoyote naweza ipata passipo kuwa na visa card
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hbari wadau nina Nokia lumia 830.Kioo kinarespond vizuri ishu i zile button tatu za chini yaani search, home na return hazirespond.Nimeifungua na kuweka weka ikanda bado hazirespod.Nimepeleka kwa...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
MABADILIKO kwenye mtandao maarufu wa simu, WhatsApp, yataanza rasmi leo wakati kipindi cha siku 30 cha kukubali masharti mapya kitakapomalizika. Mabadiliko hayo yanawataka watumiaji kusambaza...
0 Reactions
4 Replies
876 Views
Back
Top Bottom