Kuna dada mmoja tumetokea kuzoena kiasi cha kuwa na relationship. Kabla ya kumegana, katika kuandikiana sms nikamwambia nitakupitia jioni ukanionjeshe. Dada wa watu alinimind sana akasema...
UMUHIMU WA KITCHEN PARTIES NI KWA MABINTI TU?
Ndugu zangu kwa muda sasa nimekuwa ninajiuliza. Hivi hizi Kitchen parties wanazofanyiwa mabinti siku chache kabla ya kuolewa zinawasaidia kweli hao...
Hivi karibuni tulikutana na Mtaalamu mmoja kutoka Cuba. Alitueleza kwamba huko kwao VVU na Ukimwi siyo tatizo kwa sababu mfumo wao afya unafuatilia kila mtu na kama kuna mgonjwa anashughulikiwa...
When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her.
Lee Majors
After marriage, husband and wife become two sides of a coin; they just can't face each other, but...
MDOLI wa kwanza mkubwa wa kike na wenye umbo kamili kama la binadamu (robot) unaojulikana kama rafiki wa kike umezinduliwa nchini Marekani ambao ni bora zaidi kuliko iliyowahi kutengenezwa huko...
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa...
The perils of young Egyptians' secret marriages
Young couples are trying to find ways around Egypt's conservative attitudes to sex before marriage
By Yolande Knell
BBC News, Cairo
In...
Wanajamii kwa mtazamo wangu nimeona kuwa mapenzi kwa sasa yanachanganya sana kiasi kwamba mtu ukifikiria sana unaweza kuibuka na uamuzi kuwa ni bora usijiingize kabisa kwenye huo ulimwengu wa...
Je, ni Sababu ya Msingi?
Swali:
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 29 nilioa ndoa takatifu kanisani miaka miwili iliyopita na tumekuwa na wakati mgumu sana (migogoro) na mke wangu.
Ni miezi sita...
Wana JF,
Kuna hii kitu nataka kushea na nyie.
Watu wote waliooa, waumini wa dini zote wanakutana na rabsha na matatizo mbalimbali katika maisha yao ya ndoa, na matatizo mengine hufikia hatua...
Marafiki, wasomi, wana jamii wenzangu na hata wapenzi wangu, leo ni World tell me day, hivyo basi naomba mniambie kila kitu, iwe siri au mambo ya kawaida. Yote nitayaweka moyoni (in confidence)...
Adha ya mvua jijini imenifanya nimkimbize wifi/shemeji yenu uswazi maana nimeona jamaa wanao toa msaada wa kumvusha kwenye madibwi kama wanafaidi hivi. Bora nimsogeze mjini tu.
Hapa jamaa akiwa...
Mamboz!
Nimepata stori kutoka kwa jamaa zangu wawili tofauti kwa muda tofauti.
Mmoja anasema Girl Friend wake analalamika kua kondom inamsababishia kuwashwa sehem za siri.
Wa pili anasema...
Jamani, kutokana na ushuhuda mwingi ambayo nimesikia toka kwa watumishi wa Mungu, nawashauri akina baba wenye watoto wafanye DNA test za watoto wao, hasa kama watoto kama hawafanani kabisa na baba...
Amani kwenu wadau!
hivi hii imetulia kweli?, Kama ikitokea mwanaume ameenda nje ya ndoa ishu inaonekana ni simple tofauti na mwanamke akitoka nje ya ndoa! Naomba mnisaidie kwanini mwanamke akikosa...
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa...
Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.