Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Kitendawili?
Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
wakina nani hao?...Kitendawili?
Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
wakina nani hao?...
hawa ni jamiiforums members!Ndo maana Geoff kinaitwa kitendawili...
niambie kama nimekosea au nimepatia...........hutaki niombe mji kaka Geooooooffffff???????Nataka mji.... nataka mji
niambie kama nimekosea au nimepatia...........
Umekosa vibaya sana.
Chrispin for president 2010
Please VOTE FOR ME!
Kila kitu kinahitaji mchango... nione baada ya kazi na mchango wako, sihitaji hoja, mchango tu na 2010, mimi na wanakijiji wenzangu mhhh
wana jamiiKitendawili?
Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
Nakupa mji: Manzese
Haya tupe jibu.
ndo jografia yako ya msingi ilivokufundisha .....
BTW: hizi mambo za siasa si taboo kwenye ukoo wetu sasa wewe utagombea kama mgombea huru au???
Mi sigombei. Nimetunukiwa.
Fuata mtiririko wa uzi vizuri.
BTW how are you mamushka?
ooh yeah bold is noted
mamushka is not happy this morning as she slept bila kusikia neno la kiblurei cha kimangi.....
mamushka is not happy this morning as she slept bila kusikia neno la kiblurei cha kimangi.....
Hahaha! Mchape bakora Pako. Hana adabu! Pako ana mafua na kikohozi. Muda si mrefu ataanza kubanja.LOL!