Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wana JF, niliwahi toa mada yangu hapa kuhusu ufungaji wa ndoa kwa maharusi walio wengi siku hizi unakuta tayari bibi harusi ni mjaa mzito, sasa hii ndo staili ya kisasa? hebu fungua hiyo linki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bila shaka wewe msomaji unayesoma hapa utakubaliana na mimi kuwa umeshawahi kuzisikia kauli hizi kutoka kwa wanaume pale anapozungumziwa mwanamke mzuri kwa sura na umbo. Kwa kawaida vipimo vya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hapa Tanzania ikitokea ikatakiwa watoto wapige kura za siri kumchagua mzazi wanayempenda sana je kati ya baba na mama yupi atapata kura nyingi zaidi katika makundi yafutayo na ni kwanini unafikiri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
asalam aleikhum ! asee ni hiden fact kwamba wengi tumezoea kuwa wivu ni mali ya mapenzi yamhusuyo mwanaume na mwanamke waliokatika mahusiano ya mapenzi lakini tafakari situation hizi,i will make...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mimi ninakaa na kaka yangu na shem ambaye pia tunaishi na mtoto wa dada yake (huyo shem) ambaye mimi nina mahusiano naye ya mapenzi siri now ni kama mwaka 1 umeshafika,nileinda chuo...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio...
1 Reactions
82 Replies
10K Views
Lilia kibali cha mungu pengine weewe ni wale wanaohudhuria harusi za watu tangu uzaliwe wewe ni kuhudhuria na sasa unazeeka huna mke ama mume leo nakupa njia ya kumwomba mungu akusaidie hili...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wanajamvi hivi ni umri/muda gani wa watoto wanaozaliwa wanastahili kupishana kati yao ili waweze kupata vizuri huduma stahiki na mpango mzima wa afya zao?Je kuzaa nako kunastahili kuzingatia umri?
1 Reactions
60 Replies
18K Views
Kuna rafiki yangu maisha yake yalikua mazuri sana alikua mjasiriamali mzuri amepata hela za kutosha. kwa bahati mbaya miezi kama 4 nyuma alivamiwa na majambazi wakampora kiasi kikubwa cha hela...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi wote lakini zaidi waishio Arusha,.. Leo ninaleta ombi langu la dhati kwenu,. lakini kabla sijawasilisha nieleze kwanza kwa kifupi kilichonisukuma humu leo.. Katika haya maisha...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nilikuwa field wilaya moja siku wiki chache zilizopita, nikiwa kwenye utendaji kuna dada aliniona akavutiwa nami ila sikuwahi kuongea naye. Kuna rafiki yake ambaye nilifanikiwa kufahamiana naye na...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Ndugu wana MMU, Hivi majuzi nilipata nafasi ya kutembelea mitaa ya watu wa kawaida na kukutana na maisha halisi ya Watanzania. Nilijihisi na kukubali kuwa nimetengwa (detached) na maisha ya...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini. Very sereous nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Habari wakuu wa jamvi, Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
My biggest wish... My biggest wish is to see you face.... hold you hand and blow you a kiss!! Though a big girl now i would let you play with my hair... or hold my hands while we say a...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Naomba mnisamehe ndugu zangu...Hii akili ya 1947 ime-jam! Hivi kwa mazingira yetu ya sasa ya dot com, ufisadi, ulegelege wa wakulu (Maranya kaita urojo rojo), uzembe, umbeya, kupigana mabao...
3 Reactions
64 Replies
7K Views
Nawasalimu wakuu!! Kweli Mapenzi mikasa!!! kuna jamaa yamemkuta jamani, msela alikuwa na demu (muda siujui) lakini aliachwa na demu kwani huyo dada alitokea kumpenda rafiki yangu...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
myself i am 39 but dating 48 for almost 6 month now advantage! i dont pretend to be someone else to be accepted, given that older women are secure in their own skin, they have their own life, and...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Ajinyonga Hadi Kufa Sababu Ya Kupigwa Na Mkewe. Mkazi mmoja katika Mtaa wa NHC katika Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti wilayani Mara, Samson Kitoshi (32) amejinyonga hadi kufariki dunia kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom