I Ilonza Senior Member Jan 11, 2011 119 13 Aug 12, 2011 #1 Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini. Very sereous nisaidieni kwani huyu msichana ninampenda sana.
Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini. Very sereous nisaidieni kwani huyu msichana ninampenda sana.