Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Natumaini wana JF wote muwazima. Mojawapo ya mambo yanayonivutia katika maisha ni kusafiri nchi, ama sehemu mbalimbali na kuiona dunia na kujifunza mengi. Vilevile napendelea sana mambo ya...
1 Reactions
76 Replies
7K Views
Wana jamvini ripoti pokeeni. Kwanza kabisa nashukuru sana kwa ushauri wenu-yote yenye mitazamo tofauti, kwa kweli imeniwezesha kujitazama upya kama tatizo na si kumwangalia mtu mwingine. UAMUZI...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa! Leo naomba niwaulize swali.Umekutana na mwanamke/mwanaume ambae aliwahi kua kwenye ndoa na anakwambia bila maelezo ya ziada!Baada ya kua karibu sana unaona uulize kidogo...
0 Reactions
206 Replies
17K Views
Nilikua naangalia kipindi cha wanawake live wiki hii chanel 5, nikakutana na maneno kuwa mashuga mami yanapofanya mapenzi na serengeti boy wanawanyonya damu kwa sababu ya tofauti ya umri wao...
0 Reactions
18 Replies
12K Views
Hongera kwa kazi kwa ww unayesoma hii post kwa sasa. Kwa kweli mm binafsi nashangazwa na tabia ya mpz (mke mtarajiwa) wakati tuwapo tumelala ktandan mwenzangu huwa swala la kulala upande wa...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
kwa upande wangu mimi naona kuna ukweli 85% but kwa asian women ni 100% ukweli........wewe je ni maoni tu..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Imepita miaka kama mitatu hivi niko katika urafiki na bibie lakini hatujawahi kuwa wote kwenye 6 x 6. Mara ya kwanza nilipanga naye lakini baada ya kupata kilaji sawasawa mi mwenyewe niliondoka...
0 Reactions
60 Replies
47K Views
Jamani wadau hii imekaaje katika mahusiano?Eti ukiwa na mpenzi wako(she) halafu kwa hali isiyo ya kawaida ikatokea maporomoko ya hapa na pale ,then yeye akaanza kukupiga mkwara usiiguse simu yake...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Ni siku ya watu wanao tumia mkono wa kushoto (mashoto or left handed). Nakumbuka nirafiki yangu alikua akipigwa sana na mwalimu pale alipokua anaandika kwa kutumia mkono wa kushoto,au akinyoosha...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Share on Facebook Birth Control Pills Affect Women's Taste in Men: Scientific American See...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana katika harakati za kutafuta mafuta na kidumu nikajikuta nakatisha maeneo ya Mwananyamala. Kwa kweli nilicho kiona pale siku amini macho yangu kweli ni kizazi kipya au ndo hivyo watu wanapenda...
3 Reactions
33 Replies
13K Views
Hivi ni kwa nini wadada wengi huwa wanapenda kuchezea nywele za vifuani mwa wanaume pindi wanapokua faragha?
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini very sereous
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Baada ya kusimamishwa kazi mambo mengi yalikwama kiasi cha kutimuliwa kwenye nyumba nliyokuwa naishi anga za Sinza. Mama mkwe alinibembeleza sana nikakae nyumbani kwake Tegeta ambako ana nyumba...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Wakati watu waliokuwemo kwenye ndoaa uchunguzi umeonyesha wengi wanatamani kutoka huko kwa namna yoyote ilihali wawe huru pamoja na kutoka kuna wengine wanafikiria je nikitka ntaweza kuolewa tena...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pengine waweza jiuliz a kwa nini wanaume wengi hata wakutane na wanwake kama malaika wasiojua kutoka nje lakini wanashindwa kujiheshimu??je wewe ni mmja wa haka kagonjwa?? Wenye uzoefu...
2 Reactions
54 Replies
6K Views
Ramadhan kareem! kama ilivyo ada watu tunapenda mambo ambayo wenzi wetu wanayapenda hasa katika suala la mapenzi. Lakini je ushawahi kujiuliza udhaifu ulionao mwenyewe? Haya sasa tuambiane...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
mh wana jf nisaidieni..mimi naishi na mjomba wangu na yeye ndie kama mzazi wangu kwa hapa jijini,lakini nina mama yangu mzazi yupo mkoani huko na hapa jijini nasoma chuo mwaka wa pili naingia wa...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
du hii migao imezidi huku arusha leo ni siku ya tatu hatujaona umeme , mafuta pia mgao shell zote zatoa mafuta kwa mgao , maji pia mgao bila umeme maji hakuna huku, chondechonde msije kuleta migao...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Nipo hapa kijiweni kama kawaida nang'arisha viatu,washkaji kama kawaida wamejaa kijiweni wakilonga kila mtu alilonalo analiwasilisha na mijadala imepamba moto hapa.Kwa kweli kijiweni kuna raha...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom