Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya mambo ya kiudaku mengi ni kweli. Awali nilidhani kuwa baba yake jirani yangu ameaga dunia kwani kwa week kadhaa sasa yupo hospitalini.
Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita.
Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu.
Hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo.
Vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama?
Baba mwenye nyumba au House girl?
Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita.
Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu.
Hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo.
Vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama?
Baba mwenye nyumba au House girl?