Jirani yangu kambamba live mume wake na beki 2

Anold

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,456
614
Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya mambo ya kiudaku mengi ni kweli. Awali nilidhani kuwa baba yake jirani yangu ameaga dunia kwani kwa week kadhaa sasa yupo hospitalini.

Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita.

Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu.

Hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo.

Vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama?

Baba mwenye nyumba au House girl?
 
majitu mengine bana silui yakoje. unaacha sato chumbani kwako unaenda kula sato chumba kingine,tena kwa woga na mashaka. kama sio ujinga sijui nini sasa?
 
teh teh, source ya hii habari?

Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya mambo ya kiudaku mengi ni kweli. Awali nilidhani kuwa baba yake jirani yangu ameaga dunia kwani kwa week kadhaa sasa yupo hospitalini. Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita. Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu. hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo. vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama? baba mwenye nyumba au House girl?
 
Unataka housegirl alaumiwe kwa lipi?!Yeye ndo alienda kumwamsha baba mwenye nyumba na kumvutia chumbani kwake?!

Simlaumu housegirl kwa lolote maana inawezekana ana umri mdogo kiasi kwamba chochote anachoagizwa anafanya.Inawezekana alilazimishwa kwa vitisho vya kufukuzwa kazi ama luchongewa kwa mama mwenye nyumba ikiwa atakataa...kwa mtu mwenye shida na hiyo kazi na hajui wapi apate nyingine ni ngumu kushinda majaribu ya aina hiyo.

Kwahiyo lawama nampa huyo mzee asiye na haya hata chembe.
 
Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya mambo ya kiudaku mengi ni kweli. Awali nilidhani kuwa baba yake jirani yangu ameaga dunia kwani kwa week kadhaa sasa yupo hospitalini. Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita. Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu. hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo. vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama? baba mwenye nyumba au House girl?



Anold na usione ajabu hio ndoa haifi.... INAUMA.... But ndio ukweli....
Hapa genuinely nimeshindwa la ku COMMENT... I just wish huyo mama
angekua na enough guts za kuondoka kimya kimya badala ya kupiga
kelele na kuwapa faida majirani ambao mara nyingi hufurahia problems
za wanandoa.... wataongea mtaa mzima! Yaani.... Dah!
 
Ashadii unadhani aliamua kupiga mayowe kunufaisha majirani, sidhani! Hicho kitendo kinashtua na kuchanganya akili saana. Na kila mmoja wetu anaweza ku-react tofauti! Hii aibu ni ya mume na mke pamoja, sema tu ndo hivo mama wa watu pengine alishindwa kuhimili....
 
Anold na usione ajabu hio ndoa haifi.... INAUMA.... But ndio ukweli....
Hapa genuinely nimeshindwa la ku COMMENT... I just wish huyo mama
angekua na enough guts za kuondoka kimya kimya badala ya kupiga
kelele na kuwapa faida majirani ambao mara nyingi hufurahia problems
za wanandoa.... wataongea mtaa mzima! Yaani.... Dah!

Ni kweli maana pale kilichokuwa kinaendelea ni aibu ya wazi, maana hata watoto walishuhudia lile jambo nafikiri wakati mwingine kuna haja ya kutafuta namna nzuri ya kukabiliana na vitu vya nmna hiyo.
 
Ashadii unadhani aliamua kupiga mayowe kunufaisha majirani, sidhani! Hicho kitendo kinashtua na kuchanganya akili saana. Na kila mmoja wetu anaweza ku-react tofauti! Hii aibu ni ya mume na mke pamoja, sema tu ndo hivo mama wa watu pengine alishindwa kuhimili....


NAJUA bht.... Ndio maana nikasema I just wish.....
 
Wote hawana kosa kama walifurahia tendo na kama h/girl siyo minor na kulikuwa na makubaliano, hawa ni binadamu wanastaili kumegeana kama ni mapenzi ya kweli.
Mama anambana h/girl asimegwe na mtu yeyote, kazi analundikiwa kibao, mshahara haueleweki, h/girl ni wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala, sasa kama baba amempenda ni haki yake kufurahia kamchezo ka baba.
 
Ni kweli maana pale kilichokuwa kinaendelea ni aibu ya wazi, maana hata watoto walishuhudia lile jambo nafikiri wakati mwingine kuna haja ya kutafuta namna nzuri ya kukabiliana na vitu vya nmna hiyo.


Najua... na naelewa kelele ilikua more kua kalala na binti wandi, akiwa yeye yupo, kitu ambacho hakutarajia.... INAUMA Kweli yaani... I feel for her...
 
Ashadii unadhani aliamua kupiga mayowe kunufaisha majirani, sidhani! Hicho kitendo kinashtua na kuchanganya akili saana. Na kila mmoja wetu anaweza ku-react tofauti! Hii aibu ni ya mume na mke pamoja, sema tu ndo hivo mama wa watu pengine alishindwa kuhimili....

hili game lina mapito mbaya kabisa, hapo unakuta kabla hamjalala ulimpa haki yake, utabakia tu kujiliza bila majibu kwa kitendo kilichotokea, hili game limekuwa la hovyo kabisa.
 
kuona kwa macho bora usikie.......wanaume wengine bana haya sasa mpaka watoto wameshudia ufuska wake.....watoto watakosa kumheshimu angemalizia tamaa yake huko mtaani kama wafanyavyo wakware wenzie
 
Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya mambo ya kiudaku mengi ni kweli. Awali nilidhani kuwa baba yake jirani yangu ameaga dunia kwani kwa week kadhaa sasa yupo hospitalini. Tukio zima ni kuwa baba mwenye nyumba amebambwa live usiku wa manane kwenye chumba cha House girl akivunja amri ya sita. Bwana huyo ambaye ameajiriwa hivi karibuni kwenye taasis ya umma, alikula timing wakati mke wake amelala fofofo na kuzama kwenye chumba cha House akiwa na taulo na kufanya kile kilichokatazwa kwenye amri ya sita. Hata hivyo za mwizi sio lazima zifike 40 kwani mkewe alishtuka kwenda kujisaidia, hivyo alipoangaza macho hakumuona mumewe hivyo akaamua kutoka ndani ya chumba kuelekea chooni ambako hakukuwa na dalili zozote ambazo ziliashiria kuwa kuna mtu. hata hivyo baada ya kusogelea chumba cha House girl alisikia kelele za kitanda hali ilimfanya mke huyo afungue mlango wa House girl huyo na kuwasha taa na kushuhudia mume wake akiwa yuko katika hatua za mwisho za kumalizia tendo. vurugu zilianza hapo mama mwenye nyumba akikabiliana vikali kutaka kumuadhibu House girl huku baba akijitahidi kumzuia mama. Hata hivyo nilisikia baadaye kuwa yule House Girl ameondoka kurudi kwao, na mama mwenye nyumba ameondoka. Kwa wana jf hiki kisa kina funzo kubwa!! hata hivyo unafikiri katika hili nani anastahili lawama? baba mwenye nyumba au House girl?

Hadithi hii inatufundisha nini?
 
Hadithi hii inatufundisha kuwa Mama mwenye nyumba alikuwa amejisahau mno. Kiasi kwamba anauchapa usingizi bila kujali kuwa mwenzie hajala na analala na njaa. Sasa kwa kuwa chakula hakipatikani nyumbani, katoka kufuata makombo jalalani, halafu yule aliyetakiwa kumpa chakula anaenda kumshambulia kwa kula makombo.

Huyo mwanaume alitumia resources zake nyingi kuoa, lakini mke anamtelekeza kitandani!! Hii Tragedy iko kwenye karibu asilimia 90 ya ndoa!! Kina mama wana-uchapa usingizi huku kina baba wanahesabu kenchi za nyumba zao kwa kukosa chakula ya mama.

Kumlaumu yule baba haisaidii, angalia picha nzima ilikuwaje? Beki 2 naye mtu ati, akiona nafasi iliyoachwa wazi kwa nini asijaze?
 
Sijui mimi nimezaliwa tofauti au ni vipi?
Sijawahi kutamani house girl wa home kabisa....
Hao housegirl wa nyumba zingine,those days za utoto....
 
gonga ngozi kokote lkn sio home kwa baki3 jamani, ni kudhalilishana tu hapo.
 
Huo ni udhalilishaji wa hali ya juu. Na ni dharau pia. Wote baba na huyo H/gilr hawana adabu. Suala la kusema H/gilr ni mdogo mimi nalipinga kwani hata sisi tulipitia udogo na tumeona wale waliokuwa design za huyo housegilr (wagawaji hovyo) tabia zao chafu azikukoma baada ya kukua waliendela kuwa na tabia hiyo hiyo. Kuwa mdogo si ticketi ya kutembea hovyo busara uanza toka utotoni. Na nachelea kusema kuwa hayo ni makubaliano kwani huyo bwana hawezi kumbaka housegirl wakati mke yuko next room. Afu nyie wababa mnajipa moyo kuwa hao ma housegilr wako safe kumbe kuna wengine walikuwa wanauza pombe huko kwao ambako ukimwi unashika kasi. Kwa kweli tutauana sana na tabia za tamaa za hawa wanaume.

Kuna ndugu yangu yeye ananambia anawapima ma housegirl wake wote anaowaajili; tena si kwa siri anawapa counselling na kuwa convince kupima. Nilikuwa nampinga sana kuwa ni kinyume cha haki za binadamu. Now I begin to understand! Maana kuna wanaotembea na baba wenye nyumba na kuna wanaotembea na watoto wa kiume wa familia na kuna wanaowabaka watoto wadogo wa kiume. Kazi kweli kweli. Wanangu wakikua kidogo tu nitakuwa naishi kama ulaya sitaki watu nisiowafahamu ndani kwangu. Ntafanya kazi mwenyewe na kuajiri mtu wa kuja week ends kufanya usafi general.
 
hili game lina mapito mbaya kabisa, hapo unakuta kabla hamjalala ulimpa haki yake, utabakia tu kujiliza bila majibu kwa kitendo kilichotokea, hili game limekuwa la hovyo kabisa.
Hapo ndani tu na ww mwenyewe upo anafanya hivo! Mbali na upeo wa macho yako jamani si balaa?Hii taasisi jamani.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom