First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Nawasalimu wakuu!!
Kweli Mapenzi mikasa!!!
kuna jamaa yamemkuta jamani,
msela alikuwa na demu (muda siujui) lakini aliachwa na demu kwani huyo dada alitokea kumpenda rafiki yangu,
kiukweli naweza sema jamaa alikuwa kajiachia jumla kwani inavyoonekana kwa sasa yuko kwenye hali mbaya sana, yaani full kulalamika na machozi juu!!! Mbaya zaidi anamlalamikia jamaa aliependwa kwa kumtaka aamue kumwachia kwani vinginevyo anaweza hata ajiue kwa kile anachokiita kuwa haoni sababu ya kuishi bila huyo dada!!!
jamani!!
hii inakuaje?
1. Kama demu aliamua kumwacha hata kama aliependwa akiamua kumpiga chini huyu demu mapenzi yatakuwepo kwake tena?
2. Amejaribu kushauriwa kuwa hata kama jamaa akiamua kumwacha demu sio rahisi kurudi kwake, sanasana atafall kwa mwingine wa tatu lakini haelewi.
MMU, wataalam wa mapenzi, huyu jamaa tumshaurije?
source: 1st Born's friend(mpenzi wa demu wa sasa)
Kweli Mapenzi mikasa!!!
kuna jamaa yamemkuta jamani,
msela alikuwa na demu (muda siujui) lakini aliachwa na demu kwani huyo dada alitokea kumpenda rafiki yangu,
kiukweli naweza sema jamaa alikuwa kajiachia jumla kwani inavyoonekana kwa sasa yuko kwenye hali mbaya sana, yaani full kulalamika na machozi juu!!! Mbaya zaidi anamlalamikia jamaa aliependwa kwa kumtaka aamue kumwachia kwani vinginevyo anaweza hata ajiue kwa kile anachokiita kuwa haoni sababu ya kuishi bila huyo dada!!!
jamani!!
hii inakuaje?
1. Kama demu aliamua kumwacha hata kama aliependwa akiamua kumpiga chini huyu demu mapenzi yatakuwepo kwake tena?
2. Amejaribu kushauriwa kuwa hata kama jamaa akiamua kumwacha demu sio rahisi kurudi kwake, sanasana atafall kwa mwingine wa tatu lakini haelewi.
MMU, wataalam wa mapenzi, huyu jamaa tumshaurije?
source: 1st Born's friend(mpenzi wa demu wa sasa)