dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
ninavyoelewa kaka yake mama ni mjomba wangu na dada yake baba ni shangazi yangu.swali, mke wa mjomba wangu nimwite nani na mume wa shangazi nimwite nani? kwani jamii zingine wanamwita mkaza shangazi au mkazamjomba wengine wanawaita baba mjomba au mamamjomba majina sahihi ni yapi?