Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nimewahi kuwa na mpenzii ambaye nilimkuta akiwa bado kigoli katka mahusiano yetu niligundua alikuwa mwongo sana na kila kitu yeye ni mbishi sana ukimkataza kitu atakubali kuacha ila siku hiyo hiyo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu GT! Kweli mambo haya yana wenyewe mie yamenishinda! Naona nifikiri mambo mengine! Mnasemaje?
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Mimi nina gf, ni mzuri na ninampenda sana. Tatizo lake ni kwamba tunapokuwa kwenye stage anaumia sana hasa wakati wa kuanza. Nini chanzo cha tatizo hili na nifanyeje ndg zangu?
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari jukwaa la starehe! Bwana me niko hapa kuwaambia senkyuu kwa maushauri yenu ktk post yangu ya mwisho..in dilema...! Mnaikumbuka? Nimemaliza field salama, matokeo yamekuwa poa, hakuna kijana...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Kutokana na malezi au mazoea au pengine tabia zilizo katika mila na desturi zetu, tumejikuta mara nyingi tukiwafanyia wapenzi, waume au wake zetu tabia ambazo kutokana na mazoea hayo tunadhani au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
One afternoon a husband arrived home with sadnews for his wife... Husband: Wife, I just received a call, mother(mama) passed away. Shall we go to town and get some necessities for the funeral...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina mpwa wangu ni kijana tu ana 40yrs alikuja kuomba msaada wa kwenda kufanyiwa operesheni ya Busha huko Kisarawe nasikia hospitali ile ni wataalam sana wa kupasua mabusha. Tumechangishana na...
0 Reactions
225 Replies
19K Views
mimi nimeoa jirani sana na nyumbani kwetu. tangu nimeoa sijawahi kulala ukweni kwa sababu ni mwendo wa dakika tu kutoka kwetu hadi ukweni. rafiiki yangu anasema kuwa kitendo cha kutolala na mke...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Polisi dodoma imewakamata wanafunzi 8 jinsia tofauti wa chuo cha ustawi wa jamii-dar wakiwa wamelala ktk chumba kimoja ktk nyumba ya kulala wageni Vatican mjini dodoma.Fumanizi hilo lilitokea...
1 Reactions
103 Replies
19K Views
Scramble for men goes to church Published on 04/09/2011 By Sophie Khakasa(The Standard) A pastor’s wife is currently bedridden after getting a thorough beating from her husband. The pastor...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Hello jf nilikuwa na glfriend toka january had hiv sasa lakini nilipolala naye ama 2lipo sex naye sina hamu tena ya kumuona hata sim yake siipokei tena sijui ni nini tatizo naomba wanasaikojia...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wanajamii....katika pitapita zangu jana nilikutana na kioja kilichompata jamaa yangu hadi mimi nikabaki natoa macho.. Alikwenda na Girlfriend wake mahali kupata ile kitu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima mbele wana jamvi!. Hii ni true story na siyo tungo. Ni mara chache sana huwa napita kwenye jukwaa hili la MMU....jukwaa la siasa ndiyo maskani yangu hasa. Ila kutokana na issue ambayo...
1 Reactions
226 Replies
21K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa, seriouly aniiibox for more info
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwanaume anapohisi kuwa ni dhaifu katika kafanya mapenzi, yaani jogoo wake hawiki huwa anajitengenezea njia za kujitetea, ili kuonyesha kwamba yeye siyo dhaifu. Bila shaka hata wewe unayesoma hapa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Watu wengi wanapozungumzia kuvunjika kwa ndoa au uhusiano, sababu zinazojitokeza sana au kutajwa ni zile za ulevi, kutoka nje ya ndoa, kipato, uchafu, na mengine ya aina hiyo, lakini wanasahau...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina miaka 27, ni mwembamba kiasi, maji ya kunde, ni mkristo (RC), nimehitimu chuo. Natafuta mdada ambaye atakuwa mke wangu baadaye, umri 20-25. Mrejesho hapa hapa.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam!.. Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu...
1 Reactions
152 Replies
11K Views
1. Mwanamke anyejua kuvaa 2.Mwanamke anayejua kupika 3.Mwanamke mwenye tabia nzuri. Choose one
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Wengi mnaweza kunishangaa labda hapa sio mahali pake au laa, kiukweli toka nimeanza darasa la kwanza mpaka kuja kumaliza darasa la 14 sijawah kupata maana halisi au tafsiri sahihi ya MWIKO...
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Back
Top Bottom